Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.
Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.
Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.
Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.
Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.
Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.
Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.
Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.
Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.
Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.
Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.
Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.
Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.
Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.
Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.
Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.
katka ule mwendelezo wa jesh la polis kujichukulia sheria mkononi na kuua raia hovyo, leo 2/7/2013 majira ya saa 3 asubui katika maeneo ya Ungalimited uswahilini polisi walifika katika nyumba moja nakumkuta kijana mmoja anae julikana kwa jina la Remblis na kumpga risas na kudai heti alikua ni mwizi, swali lakujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia kwa sababu ya tuhuma za wizi? Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanin polis wameamua kuua raia kinyama, MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAIT KTK HOSPTL YA MT MERU.
Kikwete ameshaamrisha polisi na jeshi kutesa na kuua wananchi unaambiwa mtwara vifaru vinazunguka mjini na wanajeshi wanatesha wananchi katika kambi ya naliendele na kubaka wengine
Arusha polisi wanashirikiana na CCM na Utawaala wa KIkwete kutaka kumuua mbowe na Lema na kuua wananchi wengine ,ukihesabu sasa hivi kila wiki kuna wananchi zaidi ya kumi wanauliwa na polisi peupe mbele ya macho wananchi,wakulaumiwa sio kikwete ni sisi wananchi tunao cheka naye akiuua watoto wa wenziwe wakati wa kwake wakijikatia migodi ya madini
Inauma sana,sanaaa!! Hii mipolisi ndio maana inamaisha magumu kweli siipendi midudu hii bac tu.
Wanatekeleza maagizo ya kipumbavu toka kwa waziri mkuu mwenye mawazo ya kipumbavu. Pinda atakuwa ameagizwa na mganga wake amwage damu za watu wasio na hatia ndo maana akatoa maagizo ya kipumbavu kwa polisi kuua watu.
Ni lini jeshi letu la polis litaacha kuwafanyia unyama raia,kama wanaweza kuua mchana kweupe bila aibu wala woga,je,ni raia wangap wameuwawa kwa stail kama hii,hivi hii nchi haina watu wa haki za binadam?
haya majanga ya chama cha majambazi(ccm)