DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haijalisha Mange ni mtu wa aina gani, taarifa ni taarifa. Hata kama ni Mange anatupeleka maboya bado taarifa yake inaweza kutumika kama ~true (not true) value, katika mchakato wa kutengeneza truth table yetu.
 
Haijalisha Mange ni mtu wa aina gani, taarifa ni taarifa. Hata kama ni Mange anatupeleka maboya bado inaweza kutukia kama ~true (not true) value, katika mchakato wa kutengeneza truth table yetu.
Je pole pole anaweza kushikwa hivyo kama inavyosemekana?
 
Wasengesenge km nyinyi hua nawaingiza ignore list mazafaka ingia humo
 
Safi sana
 
Ukisikia bendera fata upepo ndiyo hii. Watu wazima na akilizao na usomi wao ila akili na fikra zao za kushikiwa na Mange kimambi ni kama makondoo. Wengine kabisa unakuta wanakomaa kana kwamba walikuwepo kwenyetukio. Wote wanaosema polepole katekwa waulize wanauhakika utasikia sisi tumesikia taarifa kwa Mange kimambi. Kweli Mange kimambi ndiyo wakuamini kiasi hicho. Kwa hiyo Mange kimambi anaakili nyingi kuliko polepole kwasababu yeye hajatekwa ila polepole katekwa?
Mimi sikuwepo eneo la tukio, chochote kinawezekana.
 
Aisee hii andika andika hawa jamaa wametuzoea inatakiwa kesho wanatuona milangoni mwao kama kutuuwa watuue ila sijui nini haiana maana wameamua uhuni tuishi nao kihuni watatuzoea hawa watu nawambia nikuamka pale nao kuwa tunamataka polepole over hizi andika andika zifike mwisho tukipata tarifa na ipo confirmed nikuagiza watu walinde mazingira na kuambiana jamani twendeni over
 
In the realm of codes and commands,
Executables obey their maker’s hands.
But when corruption hides in lines unseen,
Kinatawala awakens — silent, clean.

He scans the system, purges deceit,
Restores the truth where lies compete.
For every file that broke the law,
Justice runs… with no “undo” at all.
 
vyombo vyetu hasa jwtz na tiss mpo kimya kama mateka sio bure mnatukosea sana.
Kwenye hivi vyombo, wote hasa wenye vyeo wamepewa kwa kujuana, kwahiyo usitegemee
Nitashangaa ukiamini kuna kapteni wa jeshi anaitwa Tesha.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…