Mnyama asiye na malengo ni Pimbi. PIMBI’ kwa lugha ya kigeni wanamwita ‘HYRAX’.Pimbi ni jamii ya wanyama wenye maumbile madogo na vimo vifupi sana ambao wanapatikana maeneo mbalimbali hasa barani Afrika.Aisee hii ,kauli ni kubwa sana , kwamba Ndugai mpaka sasa malengo yanamsaidia nini ,
Wachache watamwelewa kwa hoja hii
Polepole ni mhuni anayezungumzia uhuni wa wahuni wenzake pale ambapo yeye siyo mnufaika wa uhuni huo. Wote ni wahuni tu.Uko sahihi sana, tunamjua Polepole vizuri na nini alisimamia kipindi cha dhalimu magu. Lakini sasa tunajua anasema ukweli, japo hakuuishi kipindi akiwa kwenye mlo.
Polepole ni psychopath ambae yupo desperate na kuwa nje ya cycle za maamuzi.Wewe unapotosha. Sio kwamba hana malengo bali hana malengo hayo ya nyumba, kuendesha gari nk vitu ambavyo Unaweza kusema ni basic needs.
Yeye sana malengo makubwa ya kuijenga nchi yenye haki na utawala bora.
Ana malengo makubwa zaidi ya basic needs
Hii Baiskeli, ukiendesha dakika moja Mbupu zote huna lazima upasue zoteKwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
mbona alikuwa anajisifu kuwa anatamba na maV8?Yuko sahihi, huwezi kuwa Mwanaharakati wa haki za watu eti ukaweka malengo ya nyumba na vyeo.
Ukombozi wa bara la Afrika? Leo? Duh sasa akina Nyerere, Nkeumah, Sekou Toure, Kaunda etc walikomboa bara gani?Ninavyomuona Polepole, "ni mtu mwenye upeo mkubwa wa kufikiri na hana tamaa" Ni watu wanaotakiwa kuwa viongozi katika bara la Afrika. Hafikirii tumbo lake tu. Ni kati ya watu wanaotakiwa kulikomboa bara la Afrika.
Ilikwishapita na biriani ya ushindi wa Magu, leo wanaona eti ni jipya kwa SamiaJe Magufuli 2000 aligombea na akina nani? Nani alikuwa na popularity kubwa? Anna Mgwira? Au Queen Sendiga
Au umesahau
Form six HKL pale Benjamin mkapa secondary form six ya pili yeye na hajui manara na brother angu mmoja now yupo 45'sKwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
Wanaume mnatakiwa kua kama HPView attachment 3437814 Jamaa yupo yupo tu. Kasema msimshauri kuhusu maisha hana malengo