TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,197
- 18,227
Hana malengo na amethibitisha Kwa kauli yakeUnataka awe na malengo gani?
Hana malengo na amethibitisha Kwa kauli yakeUnataka awe na malengo gani?
Kabisa mkuu 💯%Ndg. Polepole anajitambua sana.
Uko sahihi, ni juu yenu kuwasema makatili wa wakati wa dhalimu magu, ila Polepole naye anawasema wa sasa. Hata hivyo umeshachangia tone tone ya ccm?Sina shida na wahuni wa juzi wala wa sasa, ila issue ni kwamba huyu Polepole alikuwa mtumishi wa DIKTETA Magufuli ambaye ndiye chanzo cha sintofahamu zote hizi
Nimemuuliza swali; mfano wewe hapo utafutwe na Mwamba Magufuli kwa lipi?Jitajie yeyote aliyekamatwa kupitia JF!!
Daaah 🤣 🤣 🤣 kwahiy Mr slow slow anatuambia yeye ni layman?View attachment 3437814 Jamaa yupo yupo tu. Kasema msimshauri kuhusu maisha hana malengo
Wanachofanya ni nini?Hawahitaji tonetone wale
Yupo sahihi.View attachment 3437814 Jamaa yupo yupo tu. Kasema msimshauri kuhusu maisha hana malengo
Alisema "msinishauri kuhusu malengo, sina malengo". Ndiyo maana kanyakuliwa kama panya buku!! DaaaadadekiView attachment 3437814 Jamaa yupo yupo tu. Kasema msimshauri kuhusu maisha hana malengo