Polepole: Msinishauri kuhusu maisha, mimi sina malengo

Polepole: Msinishauri kuhusu maisha, mimi sina malengo

Kwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
🤣
 
Kwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
Ushakua mabolozi karibu na UNO. Umarufu gani mwengine wa kisiasa?
 
Malengo yamefanya watu kutokua wazalendo katika taifa hili, that's

Wamekua wezi, wauwaji,watekaji , wahujum nchi kisa ,malengo ya kidunia , alama inakusaidia nini kama unakufa watu wanaanza kuzomea.

Viongozi , waliokaribu na watesi wa wananchi kwa sasa wameisha jaa kwenye mfumo wa wananchi , wapatapo baya wananchi watashangilia ,ilianza kwa Mpoto, sasa Ndugai , so hii ndo alama usemayo sio , kama ndo hii bora pita kama ushuzi
Watu walishangilia pia nkurumah kupinduliwa, Gaddafi kuuawa etc,mlishangilia lowasa alipobagazwa na chadema kwa tuhuma za ufisadi na alipotangazwa mgombea urais kupitia chadema..kushangilia kwenu hakuakisi lolote zaidi ya ujauzito wa kifikra na ububusa, mnaburuzwa na agenda za watu msizozielewa
Said Salim bakhresa hatopita kama ushuzi duniani,kwa nchi na familia yake ataacha alama
 
Polepole ni mhuni anayezungumzia uhuni wa wahuni wenzake pale ambapo yeye siyo mnufaika wa uhuni huo. Wote ni wahuni tu.
Ni sawa, na ww ukisikia anawaongelea wahuni wa sasa unaumia sana.
 
Kuwa JF ni kichaka kidogo umeongopa bro. Alishindwa Magufuli kutupata pamoja na kumfungulia Maxence Melo kesi 6, ndiyo wewe umjue huyo Bosco Ntaganda ??
Usijidanganye, mtu anaweza kuweka tracking code kwenye image ya 1 pixel, halafu akakutumia DM au hata msg hapa ya kukuchukiza ili umjibu. Ukijibu tuu, data zinatumwa za location yako, aina ya device, mtandao na ip address. Depending na urefu wa mkono wa huyo anayekutafuta (mf serikali) atakupata tuu. Hii ni bila kumshurutisha Max.
 
Ni sawa, na ww ukisikia anawaongelea wahuni wa sasa unaumia sana.
Sina shida na wahuni wa juzi wala wa sasa, ila issue ni kwamba huyu Polepole alikuwa mtumishi wa DIKTETA Magufuli ambaye ndiye chanzo cha sintofahamu zote hizi
 
Malengo ya nyumba, usafiri na kula ubwabwa… ndio malengo ya Watanzania wanayolazimishwa na TISS kuwa hayo ndio wahangaikie. Ukiyapata basi umemaliza! Huhitaji kingine tena… subiri kufa.
Ubwabwa?
 
Usijidanganye, mtu anaweza kuweka tracking code kwenye image ya 1 pixel, halafu akakutumia DM au hata msg hapa ya kukuchukiza ili umjibu. Ukijibu tuu, data zinatumwa za location yako, aina ya device, mtandao na ip address. Depending na urefu wa mkono wa huyo anayekutafuta (mf serikali) atakupata tuu. Hii ni bila kumshurutisha Max.
Nitafute mimi unipate ili kuthibitisha hayo maneno yako uliyoandika
 
Back
Top Bottom