Polepole, kupanda ndege siyo anasa na wala kusafiri kwa barabara siyo kigezo cha kuwapenda masikini

Mjinga ni wewe unayeficha ukweli! Kwani China ni sehemu ya Commonwealth?
Unaujinga flani ulionona inaonesha husomi... Sitoweza kukuelimisha tafuta vitabu kuhusu wanaharakati viongozi waliobadili nchi zao pakubwa!! Jielekeze Qatar,Oman,China,Indonesia,India,Brazil Malaysia nk. Ili uone viongozi wao walimpapatikia malkia na mazungu alafu uje tujadili
 
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole

EastAfricaRadio

Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.
Mkuu GENTAMYCINE ukweli huyo jamaa anajiaibisha tuu. Inamaana wanapojisifia kununua ndege walipendelea matajiri?
Anaji contradict yeye mwenyewe
 
Wanaotukana na kuchochea maasi bila kujenga hoja. Wanao wakifanya ujinga hutandikagi au we bado mtoto?
Wapinzani wakileta utoto inabidi wafinywe kidogo japo yarisasi haifai

Wapinzani ndio wanaweza kufanyiwa uhayawani wote, je wa chama tawala wanafanyiwa nini?
 
Unaujinga flani ulionona inaonesha husomi... Sitoweza kukuelimisha tafuta vitabu kuhusu wanaharakati viongozi waliobadili nchi zao pakubwa!! Jielekeze Qatar,Oman,China,Indonesia,India,Brazil Malaysia nk. Ili uone viongozi wao walimpapatikia malkia na mazungu alafu uje tujadili
Sibishani na mpumbavu nisije onekana nami mpumbavu kama wewe.

Hoja hapa ni kupanda ndege kwenda Ulaya!
 
Mtaji wa ccm ni umasikini wa watanzania, na umaskini=elimu duni.....
By the way naona jina limebadilika kutoka wanyonge hadi maskini!!
 
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole

EastAfricaRadio

Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.
Polepole ni punguani hajitambui.
 
Sibishani na mpumbavu nisije onekana nami mpumbavu kama wewe.

Hoja hapa ni kupanda ndege kwenda Ulaya!
Mbona unapaniki kimama mama kwahiyo unahisi we simjinga wakutosha?? Relax upumbafu ulonao nikipaji kigeuze kuwa mtaji...ndege ndege ushawahi kupanda kweli? ulaya ulaya huku hujafika... poor boy!!
 
Meko akienda Ulaya wazungu watamuuliza umesoma mpaka una PHD mbona lugha uliyotumia kusomea huwezi kuongea kwa ufasaha? Atawajibu as far as concerned
 
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole

EastAfricaRadio

Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.
Mkuu ulipotea mda kidogo nikajua covid19 ilikupitia
Naona umerudi kuendeleza gurudumu la JF
 
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole

EastAfricaRadio

Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.

Ipo siku atasema kula wali ni anasa
 
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole

EastAfricaRadio

Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.
Hivi hii Nchi tunayoambiwa ni Tajiri hivi bado kuna masikini?
 
Mbona unapaniki kimama mama kwahiyo unahisi we simjinga wakutosha?? Relax upumbafu ulonao nikipaji kigeuze kuwa mtaji...ndege ndege ushawahi kupanda kweli? ulaya ulaya huku hujafika... poor boy!!
For your information I am not a boy. Probably I am your father! Mtoto haramu kama wewe utaishia kulambwa!
 
Kingreza chawapi? You are not boy?? Nakujua we nidemu hivi kwanini ninyi wanawake wenyemakalio makubwa sura mbaya huwa mnang'ang'ania sana wanaume!! Sikutaki ukinfata nakushtaki!! Mwanamke tabia tko mzigo
Kaoge sasa unanuka kikwapa!
 
Back
Top Bottom