Polepole - Hii kauli yako umeitoa wapi kwenye Biblia?

Polepole - Hii kauli yako umeitoa wapi kwenye Biblia?

Vulmeko

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
295
Reaction score
237
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.
Kwani serikali inaendeshwa na sheria za biblia?
 
Yesu alisema kabla hujaenda kutubu lazima uombe msamaha uliemkosea na kama umechukua mali yake urudishe..!!

Sasa kama viongozi hawataki kurudisha mali walizokwapua za wananchi na bado wanatudidimiza kwanini wapewe msamaha?

Wewe ulitaka baada ya maumivu yote wanayotupatia waombe msamaha kisha basi tuwaache na kile walichotuibia??
 
Yesu alisema kabla hujaenda kutubu lazima uombe msamaha uliemkosea na kama umechukua mali yake urudishe..!!

Sasa kama viongozi hawataki kurudisha mali walizokwapua za wananchi na bado wanatudidimiza kwanini wapewe msamaha?

Wewe ulitaka baada ya maumivu yote wanayotupatia waombe msamaha kisha basi tuwaache na kile walichotuibia??
Aisee, kumbe Polepole ana ID nyingi humu. Mimi nilikuwa natarajia kupata majibu yake mwenyewe "live" kwa sauti. Asante, napokea hayo majibu ingawa sijapewa vifungu!
 
Aisee, kumbe Polepole ana ID nyingi humu. Mimi nilikuwa natarajia kupata majibu yake mwenyewe "live" kwa sauti. Asante, napokea hayo majibu ingawa sijapewa vifungu!
😹😹😹 Umeona ulivyo mjinga!!
Kwahiyo mimi Polepole??

Polepole hawezi kukujibu humu ila waungwana tunamsaidia kujibu, hata wewe unaweza kufanya hivyo kwenye andiko lolote linaloletwa humu..!! Okay kiongozi?
 
Kwani serikali inaendeshwa na sheria za biblia?
Nope. Lakini kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa "Slowslow" utakuwa umegundua kuwa huwa ananukuu vifungu vya biblia. Ndo sababu na mimi nimemuomba animegee wapi alipotoa hiyo kauli yake. Au nimekosea?
 
Kwahiyo mimi Polepole??
Sasa mkuu, mi ntajuaje kama wewe sio Polepole? Nakumbuka alisema yeye ni member wa JF. Ila sijaona ID yenye jina lake. Vipi hapo, bado unaniita mjinga tu?
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.
Yaani hata Majizi yawe yanasamehewa tu na kama yapo mauaji yasamehewe tu ? Ndivyo isemavyo Biblia ???! 🤣🤣🤣 !
Vinginevyo usipoyasamehe na wewe Mungu hatokusamehe ???!! 🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😂😂 !
Contradictions 😳 !

Law of the Universe
What goes around comes around. 😳🙌👍✅
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.

Nchi inaendeshwa kwa sheria za wanadamu. Wanapoziwekwa wazifuate. Watafungwa kweli
 
Yesu alisema dhambi zote zitasamehewa lakini dhambi ya kukufuru roho mtakatifu haitasamehewa kamwe!!

Naweza kusema Kuna dhambi unaweza kusamehe kabisa lakini vilevile Kuna dhambi unaweza usisamehe.

Mathayo 12:31–32
"Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kukufuru watasamehewa wanadamu; ila kufuru ya Roho haitasamehewa."
 
Sasa mkuu, mi ntajuaje kama wewe sio Polepole? Nakumbuka alisema yeye ni member wa JF. Ila sijaona ID yenye jina lake. Vipi hapo, bado unaniita mjinga tu?
😹😹😹 Kwahiyo kila atakayekujibu ni Polepole?
 
Nope. Lakini kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa "Slowslow" utakuwa umegundua kuwa huwa ananukuu vifungu vya biblia. Ndo sababu na mimi nimemuomba animegee wapi alipotoa hiyo kauli yake. Au nimekosea?
Sheria za nchi haziendeshwi na biblia. Unaweza ukawa mtu wa Mungu lakini ikija kwenye sheria za nchi hata kama ni dhambi lazima itekelezwe. Kama tunapaswa kusamehe basi jela ziondolewe na wahalifu wote wasamehewe waachiwe huru
 
Yaani hata Majizi yawe yanasamehewa tu na kama yapo mauaji yasamehewe tu ? Ndivyo isemavyo Biblia ???! 🤣🤣🤣 !
Vinginevyo usipoyasamehe na wewe Mungu hatokusamehe ???!! 🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😂😂 !
Contradictions 😳 !

Law of the Universe
What goes around comes around. 😳🙌👍✅
Sikumbuki imeandikwa wapi, lakini kama sikosei, Yesu alipokuwa msalabani alimsamehe jizi mmoja mkubwa na kumwambia atakuwa naye peponi. Wajuzi wa Biblia njoni mtujuze jamani.
 
Kusamehe hilo ni la Mungu. Wazalendo kazi yao ni ku 'arrange a meeting' kati yako na Mungu ili usamehewe vizuri in person! :Clueless:
 
Back
Top Bottom