Polepole - Hii kauli yako umeitoa wapi kwenye Biblia?

Polepole - Hii kauli yako umeitoa wapi kwenye Biblia?

Huyu anatakiwa ajibiwe ili ajue humu sio wote machawa km yeye..!!
Asijaribu sumu kwa kuonja mwanangu 😹
Mkuu, na uzee wote huu niwe chawa? Ili nini.
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.
Hadithi yako haieleweki. Itunge upya. Tunachotaka ni majibu ya hoja zake na siyo maswali Tena maswali yenyewe hayaakisi chochote chenye maana kwa Taifa.
 
Ya rohoni siyo ya mwilini ndugu

Siasa ni anasa za mwilini

Ahsante sana 🙏
Sijui kama nimekupata. If so, kwanini Slowslow huwa anaongea ya rohoni anapozungumzia siasa ambazo ni anasa za mwilini? Kwenye hotuba zake anamtaja sana Mungu na pia huwa ananukuu vifungu vya rohoni. Hapo vipi
 
Really? Kwani lile jizi msalabani lilipata nafasi ya kuwaomba msamaha liliowakosea na kurudisha mali zao? Mbona lilipewa tu msamaha?
Hukuona walivyoliua msalabani?
Basi acha na sisi tuwaadhibu kisha wakasemehewe na Yesu, hapo vipi babu?
 
Sijui kama nimekupata. If so, kwanini Slowslow huwa anaongea ya rohoni anapozungumzia siasa ambazo ni anasa za mwilini? Kwenye hotuba zake anamtaja sana Mungu na pia huwa ananukuu vifungu vya rohoni. Hapo vipi
Hata Mzee Makamba alikuwa anatumia sana maandiko kwenye Siasa kuwaelewesha wale wenye mioyo muhimu inayoshindwa kupokea ya rohoni na kuyapeleka mwilini

Roho I radhi lakini mwili u dhaifu 😄
 
Sasa kama Mheshimiwa anajua kuwa sheria za nchi haziendeshwi na Biblia, kwanini huwa ananukuu vifungu vya Biblia kwenye video zake za kisiasa? Hapo vipi, mkuu
BInadamu anatakiwa kuwa na hofu ya mungu ili aweze kutekeleza sheria za serikali ipasavyo😃
 
Yes. Na kama dhambi zote zinasamehewa, hakuna atakayeingia motoni!
Wtakao ingia motoni wapo(according to them not me). Ni wale ambao hawajatubu mbele za Mungu( kama kweli yupo)
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.

Kwani palipoandikwa ukiuwa pa upanga wewe hujapaona?
 
Hizi account mpya zinazomwongelea polepole, siyo za kujibizana nazo. Kwa utafiti wangu, hizi accounts zimefunguliwa siku moja
 
Mheshimiwa Polepole, kuna clip nimeiona mahali, ulikuwa unafundisha kwa makini sana masuala ya imani ya kikristo. Ulifundisha kwa weledi mkubwa kiasi kwamba waliokuwa wanakusikiliza walikuelewa na kukubaliana nawe 100%. Hiyo video imenidhihirishia kuwa wewe pasina shaka ni muumini mzuri wa Biblia na mafundisho ya Masihi Yesu.

Sasa katika video yako uliyoirusha hivi majuzi kuhusu wanamtandao, umesema kwamba Mungu akiwavusha, mtaweka sheria ya kuwafunga viongozi wakuu wastaafu wenye makosa. Mimi si mjuzi sana wa Biblia lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba usipowasamehe waliokukosea hautasamehewa. Kwenye video hiyo ulisema unatoa msamaha kwa mambo mengine, lakini mambo ya kisiasa hapana kusameheana.

Kwa unyenyekevu mkubwa swali langu ndio hili: Hiyo kauli umeitoa wapi kwenye Biblia? Ni wapi Yesu alisema msamaha hautolewi kwa watu waliokosea kisiasa?

Natanguliza shukrani kwa majibu mema, na yenye lengo la kunisaidia niijue Biblia kama wewe. Asante, mkuu.
Wewe ukifanya ngono nzembe halafu ukayakanyaga mawaya, ila ukaomba masamaha, itaondoa malipo ya dhambi yako?
 
Hukuona walivyoliua msalabani?
Basi acha na sisi tuwaadhibu kisha wakasemehewe na Yesu, hapo vipi babu?
Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu. Hapo vipi, mjukuu wangu; hiyo methali unajua maana yake?
 
Yesu alisema dhambi zote zitasamehewa lakini dhambi ya kukufuru roho mtakatifu haitasamehewa kamwe!!

Naweza kusema Kuna dhambi unaweza kusamehe kabisa lakini vilevile Kuna dhambi unaweza usisamehe.

Mathayo 12:31–32
"Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kukufuru watasamehewa wanadamu; ila kufuru ya Roho haitasamehewa."
Hapo mkuu ingawa mimi siijui sana Biblia, nadhani tafsiri yako ya hicho kifungu sio sahihi. Unataka kusema kwamba wanaotajwa ktk kifungu hicho kwamba hawatasamehewa kwa sababu wamemkufuru Roho Mtakatifu, ni viongozi wastaafu? Kama ndiyo, elezea wamemkufuruje?
 
Mkuu kama na wewe ni fisadi itakula kwako muda utakapofika. Tazama muda na saa umekaribia!
Mafisadi hawana muda wa kuchatichati. Muda kama huu, wametulia zao wanakula bata
 
Hapo mkuu ingawa mimi siijui sana Biblia, nadhani tafsiri yako ya hicho kifungu sio sahihi. Unataka kusema kwamba wanaotajwa ktk kifungu hicho kwamba hawatasamehewa kwa sababu wamemkufuru Roho Mtakatifu, ni viongozi wastaafu? Kama ndiyo, elezea wamemkufuruje?
Bushoke aliwahi kuimba huko mbinguni hutaulizwa ulikuwa nani duniani.

Andiko kama andiko huwa halina uspecial yaani kuwa hili ni kiongozi au raia la hasha bali ni binadamu wote
 
Aisee, kumbe Polepole ana ID nyingi humu. Mimi nilikuwa natarajia kupata majibu yake mwenyewe "live" kwa sauti. Asante, napokea hayo majibu ingawa sijapewa vifungu!

Unaleta mada za kufikirika halafu unalazimisha uwe Polepole
 
Ya Kaisari mpe Kaisari.
Haya ya kushika dola na matumizi mabaya ya ofisi za umma ni ya serikali ya Kaisari.
Msamaha mpaka muhusika aombe radhi na kurudisha alicho dhulumu.
Amekujibu vizuri Lamomy
 
Back
Top Bottom