Polepole amemuonya Chalamila kuwa hana mamlaka wala uwezo wa kujibu hoja zake. Yeye Polepole alikuwa mjumbe wa kamati kuu akiwa na majukumu maalum, anayejua mambo mengi.
Kaeleza kuwa Chalamila indirectly amemtukana Rais aliposema kuwa eti yeye Chalamila anaenda kufuata mafaili ya Polepole huko nje (means kwa wanamtandao). Polepole anasema kuwa maneno hayo ya Chalamila ni kumdharaulisha Rais kuwa taarifa muhimu za wateule wake hanazo bali wanazo watu wengine. Akaongeza kuwa yeye Polepole, taarifa zake zote, na mafaili yanayomhusu anayo Samia. Akaeleza kuwa yeye Polepole kwenye suala la uadilifu hana doa, na ndiyo maana ana uwezo wa kusimama na kukosoa bila ya kuwa na hofu. Yeye anamtegemea Mungu, na katika maisha yake binafsi ya kibinadamu, hana uchafu.
Amemwagiza Chalamila aisikilize clip yake juu ya maneno yake aliyoyasema, maneno yaliyomdharaulisha Samia, na hakika atajutia.
Kaeleza kuwa Chalamila indirectly amemtukana Rais aliposema kuwa eti yeye Chalamila anaenda kufuata mafaili ya Polepole huko nje (means kwa wanamtandao). Polepole anasema kuwa maneno hayo ya Chalamila ni kumdharaulisha Rais kuwa taarifa muhimu za wateule wake hanazo bali wanazo watu wengine. Akaongeza kuwa yeye Polepole, taarifa zake zote, na mafaili yanayomhusu anayo Samia. Akaeleza kuwa yeye Polepole kwenye suala la uadilifu hana doa, na ndiyo maana ana uwezo wa kusimama na kukosoa bila ya kuwa na hofu. Yeye anamtegemea Mungu, na katika maisha yake binafsi ya kibinadamu, hana uchafu.
Amemwagiza Chalamila aisikilize clip yake juu ya maneno yake aliyoyasema, maneno yaliyomdharaulisha Samia, na hakika atajutia.