Polepole amefanya uhalifu wa kiutumishi na kimaadili kwahiyo hatakiwi kujibiwa kwenye vyombo vya habari huyu ni mhalifu, afunguliwa kesi mahakama kuu

Polepole amefanya uhalifu wa kiutumishi na kimaadili kwahiyo hatakiwi kujibiwa kwenye vyombo vya habari huyu ni mhalifu, afunguliwa kesi mahakama kuu

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Husika na mada tajwa hapo juu:
Tukio alilolifanya Polepole ni ukosefu wa hekima na busara, ni uvunjivu wa Maadili ya mtumishi wa umma, ni kusaliti kiapo chake, ni uongo ni upotoshaji kwahyo yafaa afunguliwe kesi.

Huwezi ukasema kwasababu uliteuliwa hadharani basi na barua yako ya kujihudhuru iwe hadharani haya syo maadili ya kiutumishi mbona barua yake au mikataba yake ya kimasilahi hukuiweka hadharani?
Mbona mshahara wake hakuweka hadharani? Polepole yafaa afunguliwe kesi.

Tujitokeze kwa wingi kwenye uchaguzi October.
Kauli yetu ni moja tu
OCTOBER TUNATIKI ✅ narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅
Tuwe na Sabato njema
 
Husika na mada tajwa hapo juu:
Tukio alilolifanya Polepole ni ukosefu wa hekima na busara, ni uvunjivu wa Maadili ya mtumishi wa umma, ni kusaliti kiapo chake, ni uongo ni upotoshaji kwahyo yafaa afunguliwe kesi.

Huwezi ukasema kwasababu uliteuliwa hadharani basi na barua yako ya kujihudhuru iwe hadharani haya syo maadili ya kiutumishi mbona barua yake au mikataba yake ya kimasilahi hukuiweka hadharani?
Mbona mshahara wake hakuweka hadharani? Polepole yafaa afunguliwe kesi.

Tujitokeze kwa wingi kwenye uchaguzi October.
Kauli yetu ni moja tu
OCTOBER TUNATIKI ✅ narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅
Tuwe na Sabato njema
Dada ukishavuta bangi.......
 
.Husika na mada tajwa hapo juu:
Tukio alilolifanya Polepole ni ukosefu wa hekima na busara, ni uvunjivu wa Maadili ya mtumishi wa umma, ni kusaliti kiapo chake, ni uongo ni upotoshaji kwahyo yafaa afunguliwe kesi.

Huwezi ukasema kwasababu uliteuliwa hadharani basi na barua yako ya kujihudhuru iwe hadharani haya syo maadili ya kiutumishi mbona barua yake au mikataba yake ya kimasilahi hukuiweka hadharani?
Mbona mshahara wake hakuweka hadharani? Polepole yafaa afunguliwe kesi.

Tujitokeze kwa wingi kwenye uchaguzi October.
Kauli yetu ni moja tu
OCTOBER TUNATIKI ✅ narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅
Tuwe na Sabato njema
Hata kumfungulia kesi hakuna maana yoyote huyu ni wa kupuuza tu,wamemdanganya naye kaingia kwenye mtego 🦎mjusi kafiri.
 
Unaongea ujinga sana wewe chawa hadi tunaloana kwa mate
FB_IMG_17475678941965106.jpg
 
Back
Top Bottom