Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

Dah kwakweli
 
Akili yako kisoda, waliomtowa Membe asikanyage tano bora ni nani?

Kama JK alimshindisha Magufuli alishindwa vipi kumshindisha mrithi wake aliyemuandaa Benard Membe?

Ubongo wako ni wa kuvukia barabara tu.
Bado ujajibu swali langu nani kampeleka JPM top5 kama sio Jakaya kwani mbona walikuwa wengi kwanini wabaki wa5 ninani kachagua iyo top 5 alikuwa Edward Lowassa!!!!!!!!!!

Walipitia vigezo vip wengine wote wakose vigezo wabaki wa5 na jina la JPM lipo.!!!

Shida yako umekalilishwa na wengi km ww mnashida ya kufanana!!!

kutumia akili zenu hamtaki unategemea mwengine ndio anawaza kwaajili yako!!!!

changamsha akili yako zaidi na zaidi !!!

Chukua iyoo rip Bernard MEMBE ni Jasusi mwelevu zaid nchini!!!

Kwapamoja na Jakaya ndio wamepanga mipango yote hadi kukatwa kwake yote ni mipango yao watu 2 kuuzima mtandao wa rip Edward Lowassa!!!!

lengo lao ni moja tu kukatwa kwa Lowassa lkn Chama kibaki Salama na umoja wake iyo ndio project kuu!!!

kuwa Jakaya au Membe walikuwa na mpango wa Urais 2015 kiakili tu ingekuwa ngumu!!!

vip Benjamin William Mpaka atoke kusini na Membe atoke kusini ndani ya muda mchache kama ule!!!!

Jakaya kaweka nguvu kwa Membe lengo likiwa kupambana na nguvu za Edward Lowassa kwenye Chama kufanya wanaccm kuamini kuna vigogo wa2 wanapambana na wenye uzito wa kufanana kishaaaa

kisu woteeeeee!!!!!😇😇
Wakose woteeee 😇😇
na tunavunja makundi yote.

Bila iyo project kutengenezwa Membe kishindani kweli kweli leo CCM ingekuwa sawa na NCCR Washagawana fito !!!

Jakaya Kikwete master plan hatari sana

Ugomvi wa rip. JPM na rip. Membe ni kiini macho cha wajinga tu kufunika kombe..
 
Wewe akili zinakuruka, JK angepata wapi ubavu wa kumkata Magufuli wakati Mkapa yupo?
 
Kadanganye wajinga wenzako kwenye kahawa uko. Nonsense kabisa.
Wewe umejizima data au una upofu wa akili. Na ukiwa kipofu hata surgery haiwezi kukusaidia labda upewe fimbo nyeupe ya kukusaidia kupishana na watu
 
Basi namna yake ya kudeal nao ilikuwa mbovu. Ningekuwa Mimi ndio Magufuli na ninajua kwamba labda upinzani wanatumika kunikwamisha ningekuwa nawashtakia kwa Wananchi tena kwa facts sio porojo. Hili darasa analotoa Polepole Mimi ningetoa maradufu huku naendelea kufanya yanipasayo kwa maslahi mapana ya Taifa bila kuyumbishwa na kelele zozote zenye nia ovu. Wakati huo huo mapendekezo na hoja zote za msingi za "wapinzani" ningekuwa nazifanyia kazi. Yeye alikuwa anajipa stress za bure tu kwa kuendekeza ubabe kwenye mambo ya kutumia akili za kawaida kabisa.
Kama mpinzani ana hoja yenye mwelekeo wa kulinufaisha taifa ukiifanyia kazi automatically unampunguza nguvu na kumziba mdomo kiungwana kabisa.
HAKI HUJITETEA YENYEWE
Ruksa kunikosoa!
 
Kwa nchi ilipofikia hakuwa na namna nyingine..... and of course kuna viongozi wa CDM pia kwao maendeleo ya nchi si kitu kikubwa chama chao kichukue dola....Hawa ungewezaje kudeal nao
Mbona rahisi sana. Washitakie kwa Wananchi kwa ushahidi usio na shaka kama kweli wana nia ovu!
 
Polepole anapozidi kumshambulia Samia kwa kumtafutia huruma JPM anachoshindwa kuelewa ni ukweli kwamba kwa kufanya hivyo anazidi kujenga mazingira ya kumchafua pia hayati JPM.

Anatumia siasa za hatari kwa kuangalia upande mmoja tu.
Polepole sio mjinga. Anajua fika Kati ya Samia na Magufuli nani yupo kwenye mioyo ya Wananchi wengi zaidi. Anapigia hapo hapo. Jomba is very tactical😀
 
Shida yake kubwa ilikuwa ni ukabila na ukanda, pamoja na kushindwa kukubali kukosolewa
hampendi haki,ukabila kivipi?,ukanda Kwa maana gani,mwizi ukimzuia kuiba lzm atakuona hufai,ndiyo maana tuliona maajabu wakati wake hatujawahi ona.
 
Naelewa hisia zako. Lakini binadamu wa Tanzania hawajafikia hatua ya kuwa tayari kuhatarisha maisha yao kiasi hicho. Na dola imejiandaa kikamilifu.

Elewa, kuna vikosi vimeandaliwa kupiga watu risasi pale dalili za uasi zikionekana tu kwa matarajio kwamba ule mwonekano wa mwanzo wa maafa makubwa utawatia watu hofu ya kuendelea na uasi. Watanzania bado sana kushuhudia damu ikimwagika mbele yao kwa fujo wakabaki na ujasiri. Huo ni mkakati wa terrorism. Ni kama inavyofanywa ku-mutilate maiti za wanaotekwa ili kutia hofu wapinzani/wakosoaji wajue wakitekwa watapitia adha zipi.

Inahitaji moyo mkubwa sana. Nimeona kadiri miaka inavyoenda, watawala wamezidi kuongeza ujasiri wa kuwafanyia ugaidi wananchi waiogope sana serikali ili wasithubutu kudai marekebisho yatakayoondoa madaraka makubwa ya Rais. Itachukua muda kuiondoa hiyo hofu.

Nyerere hatarudi wala wakati wake hautarudi tena lakini hiyo fursa ya kufanya marekebisho kwa amani ilishapotea. Ndiyo moja ya legacy zake.
 
Reactions: Ame
Lala SLAMA MAGU, Makamu wako alishirikiana na mafedhuli kuondoa uhai wako.
 
Polepole sio mjinga. Anajua fika Kati ya Samia na Magufuli nani yupo kwenye mioyo ya Wananchi wengi zaidi. Anapigia hapo hapo. Jomba is very tactical😀
Unapomtukana SSH inabidi uwe na moyo wa kishujaa sana kwani unapopambana na rais ambaye anacho cha kuonyesha. Ataishia kuonekana ana chuki kwa mtu anayepima yanayoendelea.

Wapo wanaohoji kuhusu unyama alioufanya hayati na yeye akaishia kukaa kimya akiwa ndio mwenezi wa CCM wakati huo.
 
Alijitetea kwa kusema wanaouliza alikuwa wapi je,wao walikuwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…