Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

Amechelewa mnooo, hawa ndiyo tulikuwa tunapambana nao usiku na mchana kuwafumbua macho juu ya uzalendo wa magu, waliweka masikio pamba.
Watanzania hawajui hua wanahitaji nini
Acha wateseke
 
Yapo ya msingi sana kama uliyoainisha na kuweka misingi mizuri ya kiutawala!! Ila nilipokuja ingia mashaka ni pale kuongeza kinga kwa viongoz wengine!!!
 
Ukanda siyo kweli.... Hizi ni propaganda tu. Ila la kukataa kukosolewa ndiyo linaloleta ukakasi. Jee ilikuwa ni tabia yake ya asili au ni matokeo ya taarifa alizokuwa anapewa?
Hiyo ilikuwa tabia yake ya asili. Hata alipokuwa waziri tabia hiyo ilikuwa wazi.
 
Lawama kubwa zinaenda Kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama...Wanalinda waovu zaidi ya kulinda watu wema, walio na maamuzi wengi wanakuwa corrupted na wanaobaki wanakuwa hawana namna ya kufanya
Ukiona hivyo ujue hata huko kwenye vyombo waliojaa ni watu waovu ...ndege wafananao huruka pamoja.
 
Kama ni kweli kuna mtu aliondoa uhai wa Magufuli, alitukosea sana. Inaumiza aisee
 
Wauaji hawa wameiga toka kwake, maana wanaona uovu ni mbinu iliyomsaidia pakubwa.
 
Kwani Kuna upinzani Tanzania? Mbona we mgumu kuelewa? Kwahiyo Kwa akili yako hata Sasa Kuna mtu anayepingwa na yeyote kweli au ni drama tu kuridhisha personal desires?
Magufuli amechangia pakubwa ushenzi huu.
 
Duh
 
Huyu dada gallow bird yeye humwambii kitu kwa samia
 
Polepole has done a noble work of sanitizing a dark legacy of Mzee Magufuli. The diabolical detractors, including Tundu Lissu are now Praising Mzee Magufuli Posthumously.

What a time to be alive. 😆
 
Unaweza kuta mwanamtandao huyo au mnufaika mmoja wapo
Hapana siyo hivyo sababu ni dini

Mimi nilimuuliza kwahiyo wewe ukienda hospital unahudumiwa tofaut na sisi sababu wewe ni mwisilam kama mama Samia?
 
Magufuli ni chanzo cha yote yatokeayo sasa.
Alikua mbinafsi sana na hakuipenda Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…