Pole January Makamba

Pole January Makamba

hii ni mbinu tu ya serekali ya ccm kujaribu kupunguza nguvu ya upinzani katika maeneo wanaofikiri kuna nguvu ya upinzani
 
huu urais wa ccm umekuwa kama ualimu wa shule za kata aisee ! Hata wanyela wanautaka .
 
Wagombea CCM
1. Edward Lowassa-Ana pesa na watu.
2. Stephen Wassira- Ana watu na ushawishi.
3. January Makamba - Bado mchanga ndo anajitangaza.
4. Bernard Membe-Bado hajaoteshwa anautamani.
5. Emmanuel Nchimbi- Yuko njia panda kwasasa.
6. Fredrick Sumaye-Anajikongoja anautamani
7. William Ngeleja-Msindikizaji.

mkuu hapo namba 2 umedanganya,wasira ana watu na ushawishi?wap mkuu.hao watu amewatoa wap mkuu,ushawish wa nn,kifedha au kisera?
 
Sijajua ni nani anamdanganya January kujiona kuwa anafaa kuwa Rais.
January amshukuru sana JK mpaka alipofikia, Kimsingi hana hata chembe ya sifa ya kuwa Katibu Kata, Seuse URAIS.
Haya Masiara jamani
 
lolz..

hivi kumbe kuwania urais kwa sasa ni jambo jepesi sana eee!!
 
viongozi wetu wa dini kuweni makini, wengi sana watataka kutumia nyumba za ibada ili kupata kukubalika ktk kipindi cha kuelekea uchaguzi.
wagombea mnatakiwa kujua, waTZ wa sasa sio wa jana, tuna vipimo vingi sana vya kuwapimia tofauti na imani ya dini. katu hatutawachangua kwa ajili ya imani zenu/ zetu au umaarufu wa kwenye media na social networks
 
Pastor Endelea Kuwa Mwaminifu Hivyo Hivyo, Yaumbue Hayo Masisiyemu.
 
Ccm bwana, "hata kuku" wanataka uraisi! kwa sababu tu dhaifu kaweza...kila mtu anaona anaweza! Kina Mwakyembe wanasubiri kuja kuteuliwa uwaziri!! Januari awe bosi wa Mwakyembe! Chadema tuokoeni na matakataka hay a!
 
Tatizo lenu pro cdm kila anaepingana nanyi ni ccm,
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tz, sijawahi kupiga kura hata mara moja,
Kwa sababu Mara zote nakuwa sipo home,
Mimi nashabikia mtu sio chama,vyama vyoye vina sera nzuri lakini watekelezaji hawapo,jifunzeni si kila anaekuwa kinyume nanyinyi ni ccm,wengine,CUF,UDP,TLP, na wengine kama sisi hatuna vyama ila ni wa Tanganyika tu

Hii homa! sasa mtu huyo akiugua kichaa! kama Mzee wa kiraracha au Ziro Kadwe!
 
...dhamira yako si nzuri ww ulieleta hii mada ni ya kinafiki bora hata usingekuwa mhudhuriaji japokuwa kwa January naye aache tamaa .... haya mambo hayataki pupara ya namna hii...bwa Makamba acha tamaa kama haya yanayosemwa ni kweli....Japo nina Shaka pia kama haya ni kweli nimeangalia taarifa ya habari Star TV wameliongelea hili hainyoshi usiri wowote wala hali yeyote ya ushawishi.. isijekuwa .."siasa za maji taka hizi"
 
I thnk we could be highly entitled great thinkers if we ask ourselves few followng qns:
1) were there said occasion? and the contents herein proved true?

2) if above is yes, then wat was the motive?

3) was it organized by Makamba himself, and if by-himself, was he played as a minister or mp? or the meeting was 'party oriented'?

4) wat was tha topics (agenda) of the meeting?

5) why only religious people i.e christian?

after we come up with answers, then we are eligible to criticise this thread..

PERSONAL FEELINGS CAN'T HELP!
 
I thnk we could be highly entitled "great thinkers" if we ask ourselves few followng qns:

1) were there said occasion? and the contents herein proved true?

2) if above is yes, then wat was the motive?

3) was it organized by Makamba himself, and if by-himself, was he played as a minister or mp? or the meeting was 'party oriented'?

4) wat was tha topics (agenda) of the meeting?

5) why only religious people i.e christian?

after we come up with answers, then we are eligible to criticise this thread..

PERSONAL FEELINGS CAN'T HELP!
 
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa

Alichukua 50 au aliacha? Alilala hotel ya hongo au alijilipia?
 
Apitishwe na Mizigo na akutane na makamanda live, atagaragazwa huyu bwana mdogo. Huku mitaani watu wamechoka na haka chama chake.
 
Kama ulikuwa kwenye hicho kikao si ungemuuliza hayo maswali?kama sio unafiki ni nini..

Umeongea kana kwamba hujawahi kuhudhuria mikutano ya aina hiyo! Nani, angeruhusu mtu aulize maswali yote hayo? Haya, angekuwa ameuliza maswali hayo huko huko sisi wengine tungepataje kujua ya Makamba na urais ili tuanze kumpima?
 
Back
Top Bottom