Pole January Makamba

Pole January Makamba

Na huu mzigo nao una utaka uprezdaa!!!CCM:-
MaBalozi-mizigo
Wenyeviti-mizigo
Madiwani-mizigo
Wakuu wa wilaya-mizigo
Wakuu wa mikoa-mizigo
Wabunge-mizigo
Mawaziri-mizigo
Waziri mkuu-furushi
Makatibu wakuu-mizigo
Rais-LUMBESA!!!
 
Wamarekani wanataka Makamba Jr awe Rais, wanaamini chini ya Makamba Jr Masilahi yao yatakuwa salama...Fedha za kumuwezesha tayari zipo...

Pole Makamba kwa kuwahonga wachungaji, jamani watumishi wa mungu mnahongwa Kweli Dunia Kwishne Tunakwenda wapi?
Wachungaji wetu kuweni makini achene njaa njaa zenu hizi kuleni zaka na sadak ndiyo hai yenu
 
Yawezekana aliandaa kiasi kwamba hapakuwa na jinsi ya kuuliza. Mlitaka akae kimya afu nchi iendelee kuongozwa na misikule kama ilivyo hivi sasa? Wanao shabikia mapera na nazi kuwa viongozi ndio wamelifikisha taifa hapa.

Umefanya vyema kutupa taarifa hii. Hivi kwanini familia fulani zinajifanya kuwa viongozi wakati wamefeli hata kabla hawajawa viongozi?

Hizi njaa za watu kuendekeza posho afu kuchagua watu wenye vichwa vya nazi ndivyo vimefikisha taifa hapa.
  • Nenda hospitali za serikali wagonjwa wanalala chini baada ya vitanda vya 3x6 kuzidiwa wagonjwa wawili na kuendelea
  • Nenda kwenye shule za primary utakuta watoto masikn ya Mungu wamekaa chini huku wakijitahidi kuandika na walimu wa upe huku wakiwa na viraka kwenye makalio
  • Shule za sekondary za yeboyebo utakuna zina wanafunzi kama 300 kuna walimu watatu yaani ratio ya 1:100. !
  • mfanyakazi anaamuka saa 12 asubuhi ( mfano walioko Da-es Salaam) kutoka kimara hadi posta mjini anafika saa tatu na nusu za asubuhi ambazo ni kama kilomota 15 kwa watu wasio ifahamu Dar.
  • kwasiku umeme unakatika kama mara 2 hadi x 3 kwa siku.
  • Kwa wale wanao ishi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar maji yanapatikana kwa shida wakati mwingine mara moja kwa wiki na pengine kuna magari yanayo uza maji ndoo sh. 300.
  • Mambo yako mengi ciwezi kutaja nitajaza kurasa kibao.
Huyu kijana yaani Makamba yuko kwenye barazala mawaziri, kwa njia nyingine ni kiongozi aliteuliwa kwa sababu baba yake alikuwa katibu mkuu wa ccm.

HIVI WATANZANIA HAMUNI KUWA WATOTO WETU WATATUONA HATUWEZI KUPIMA YAPI NI MAJI YA CHUMVI NA MAJI LAINI KWA AJILI YA KUNYWA NA KUFULIA? Make nimeona humu watu wakijaribu kutetea makamba anayo yafanya ni sahihi. Mi naona tuchapane viboko ili watu akili ziwe activated vinginevyo itafika 2015. Nazi na Maboga yatakuwa Viongozi.
 
yaani makamba mpaka CC ya CCM ameishapita???? kuna mengi hapa yamejificha
 
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa

ili na wengine tujue kinachoendelea.

Asante mleta mada
 
Kikwete alivyotafuta uraisi kwa miaka kumi na tano basi imekuwa taabu kabisa,kila mtu wa CCM anafanya alivyofanya yeye kutumia mitandao, na vikundi vya kijamii,magazeti,TV na radio amesababisha kila mwana CCM wakiwemo wadhaifu kama akina January Makamba kufikiria kwamba wanaweza wakawa maraisi sijui wa nani hivi kweli wanadhani sisi wananchi tumekuwa misukule hatuna maamuzi au ndiyo hiyo NEC ya lubuva inayodhani wanaweza kufanya vyovyote duh kali sana hiyo, January Makamba acha masihala ya baba yako aliyesema mwanangu lazima awe waziri na baadaye raisi achene hizo bwana
 
Mtoa mada ni muongo na amebainisha jinsi gani yeye ni pandikizi aliye kazini kumchafua January kwa manufaa ya watu anaowajua yeye. Huyu hawezi kuwa ni mtu wa Mungu aliyeandika haya. Kama alikuwapo kwenye kikao hicho, basi anadanganya kwa makusudi au hakuhudhuria kabisa kwahiyo ametunga ya kwake baada ya kuhadithiwa machache.

Mimi nilikuwapo katika mkutano huo na naweza hata kukuleteeni sauti ya hotuba yenyewe ili msikilize uwongo uliomwagwa hapa. Kimsingi maaskofu walimualika kuwahutubia kuhusu changamoto za Kitaifa na juu ya uongozi unaohitajika kupambana na changamoto hizo. Hakuna yoyote aliyepewa pesa na January katika mkutano huo. Hakuna.

Hakuna sehemu ambapo January aliwaomba maaskofu wamuunge mkono kugombea urais. Mambo aliyozungumzia ni kuhusu "inequality" katika jamii (yaani tofauti kati ya maskini na matajiri), kuhusu nyufa za kitaifa alizoongelea Nyerere miaka 20 iliyopita, kama rushwa, udini, uzanzibari na uzanzibara. Alizungumzia pia kuhusu kumomonyoka kwa maadili na kushamiri kwa uwongo, utapeli, ubakaji, wizi na mauaji katika jamii yetu, na jinsi gani viongozi wa dini wanavyofanya kazi kubwa kupambana na haya, na jinsi gani wanahitaji kusaidiwa na viongozi wa serikali.

Alisema kwamba kama Taifa tunahitaji uponyaji. Akasema katika uponyaji huo viongozi wa dini wana nafasi kubwa, kama viongozi wa kisiasa, hivyo lazima washirikiane. Akasema ili nchi ipone, lazima viongozi wa dini na wa kisiasa wawe wasafi na "wasipende kulamba sukari". Asema uongozi wa nchi hauna umri, alipotumia mfano wa Yeremia kwamba aliaminiwa na Mungu katika umri mdogo kuwa kiongozi. Haina maana kwamba alijifananisha naye. Alimaanisha tu kwamba hata vijana wanauwezo wa kuongoza na waaminiwe. Alimaliza kwa kusema japo tumefikisha miaka 50 ya Tanzania, safari yetu ya kujenga nchi ndio kwanza imeanza, lakini ili kupambana na changamoto zilizopo, nchi inahitaji kufanyiwa "reset" ili kujengwa upya na kizazi kipya.

Maneno yake yote yalikuwa na ushawishi mkubwa, hasa pale alipotumia mistari ya Biblia kujenga hoja zake. Imemuonyesha mbele ya viongozi hawa wa dini jinsi gani January ni kiongozi ambaye ni mcha Mungu, asiye mdini, anayekubalika na dini zote na aliyetayari kushirikiana na viongozi wa ngazi zote za jamii ili kupata majawabu ya changamoto zinazotukabili.
 
Hakuna mchungaji mnafiki kama wewe.
Mungeongeza dau ange ficha siri lakini shllingi 50,000 kama walivyzoe kuhonga masalia wchungaji bei yao kubwa mutayatolea mapepo ya uchu na uroho wa madaraka kwenye mitandao January ana najisi IKULU inatosha alivyokaa pale kama speech writer but not as president
 
Mkuu we ni mnafiki ulishindwa nin kuhoji huko hotelini. BTW ni haki ya kikatiba kwa January kugombea urais kwani tatizo ni nini?

Go Makamba.

ni haki yake ndio.
ss kwnn ahonge fedha yote hyo?
si angenunua ht madawati apeleke kwny jimbo lake huko km kweli ana nia nzuri.
kwnn awanunue wapiga kura?
 
Mchungaji kasome kitabu cha "A Man of the people" utaona ni jinsi gani haifai kula rushwa, mi huwezi kula rushwa alafu ukajifanya kamanda, huo nni unafiki.

Ktk novel hiyo utamkuta jamaa mwanamapinduzi aliyeitwa Maxwell Kulamo, ambapo alikula rushwa kwa nia njema kutoka kwa kigogo Chief Koko huku akiamin atakula tu na asitimize makubaliano yake na chief Koko,

Eventually huyo jamaa alikuja kuishia kufa tu sababu rushwa is bad at all.
 
any way the way alivyoeleza ni kinafki,,,haya maswal ameyaelekeza kwa januari,na jana alikua nae hotelini
Ndio aje ajibu January Makamba anataka uraisi sasa hivi anajua hata katiba itaamua nini wanaendekeza libeneke la uroho wa madaraka kwa sababu wanadhani kwa vile alipachikwa ubunge na baba yake na uraisi atapachikwa mambo ya hovyo kabisa awe raisi wa nani juzi hapa kamfuta uenyekiti mwenyekiti wa kijiji kwa kumtishia kumuua ili mradi alichaguliwa na wananchi wote kupitia chadema
 
Mtoa mada ni muongo na amebainisha jinsi gani yeye ni pandikizi aliye kazini kumchafua January kwa manufaa ya watu anaowajua yeye. Huyu hawezi kuwa ni mtu wa Mungu aliyeandika haya. Kama alikuwapo kwenye kikao hicho, basi anadanganya kwa makusudi au hakuhudhuria kabisa kwahiyo ametunga ya kwake baada ya kuhadithiwa machache.

Mimi nilikuwapo katika mkutano huo na naweza hata kukuleteeni sauti ya hotuba yenyewe ili msikilize uwongo uliomwagwa hapa. Kimsingi maaskofu walimualika kuwahutubia kuhusu changamoto za Kitaifa na juu ya uongozi unaohitajika kupambana na changamoto hizo. Hakuna yoyote aliyepewa pesa na January katika mkutano huo. Hakuna.

Hakuna sehemu ambapo January aliwaomba maaskofu wamuunge mkono kugombea urais. Mambo aliyozungumzia ni kuhusu "inequality" katika jamii (yaani tofauti kati ya maskini na matajiri), kuhusu nyufa za kitaifa alizoongelea Nyerere miaka 20 iliyopita, kama rushwa, udini, uzanzibari na uzanzibara. Alizungumzia pia kuhusu kumomonyoka kwa maadili na kushamiri kwa uwongo, utapeli, ubakaji, wizi na mauaji katika jamii yetu, na jinsi gani viongozi wa dini wanavyofanya kazi kubwa kupambana na haya, na jinsi gani wanahitaji kusaidiwa na viongozi wa serikali.

Alisema kwamba kama Taifa tunahitaji uponyaji. Akasema katika uponyaji huo viongozi wa dini wana nafasi kubwa, kama viongozi wa kisiasa, hivyo lazima washirikiane. Akasema ili nchi ipone, lazima viongozi wa dini na wa kisiasa wawe wasafi na "wasipende kulamba sukari". Asema uongozi wa nchi hauna umri, alipotumia mfano wa Yeremia kwamba aliaminiwa na Mungu katika umri mdogo kuwa kiongozi. Haina maana kwamba alijifananisha naye. Alimaanisha tu kwamba hata vijana wanauwezo wa kuongoza na waaminiwe. Alimaliza kwa kusema japo tumefikisha miaka 50 ya Tanzania, safari yetu ya kujenga nchi ndio kwanza imeanza, lakini ili kupambana na changamoto zilizopo, nchi inahitaji kufanyiwa "reset" ili kujengwa upya na kizazi kipya.

Maneno yake yote yalikuwa na ushawishi mkubwa, hasa pale alipotumia mistari ya Biblia kujenga hoja zake. Imemuonyesha mbele ya viongozi hawa wa dini jinsi gani January ni kiongozi ambaye ni mcha Mungu, asiye mdini, anayekubalika na dini zote na aliyetayari kushirikiana na viongozi wa ngazi zote za jamii ili kupata majawabu ya changamoto zinazotukabili.


Hatua ya kwanza imepingwa kwa hiyo ni kweli Makamba alikuwa Mwanza na aliongea na Maaskofu..

Hatua ya pili tunaomba ulete hapa mwaliko kutoka kwa Maaskofu kwenda kwa Bwana Makamba.

Hatua ya tatu tuwekee hiyo sauti ya Makamba akiwa anaongea na Maaskofu

Asante
 
Now, I am not a big Makamba fan.

Nevertheless, the accusations are weighty, with many a connotation.

So questions have to be asked.

First thing first. In all fairness, how authentic is this story?

How do we know it's not another two bit dimwitted birdbrained morally bankrupt attempt at mudslinging ?

Tusije kupaza sauti kwa michezo ya kitoto.

Habari kubwa inataka uthibitisho wa kina, kutoka kwa multiple sources.

I know January is no rocket scientist, but how stupid would he need to be to expose himself to people not in his inner circle, with such delicate info and at such an early point in the race?

Spitting jewels like it's journalism.

When you come, come correct, or don't come at all.
 
Back
Top Bottom