Pole January Makamba

Pole January Makamba

January makamba hana tofaut na zito

tofaut n moja tu,

makamba amekulia kwenye mfumo wakitawala wa ccm,na zito amejiingza kwenye utawala wa mafsad

tuwaogope hawa vijana,n bora makinda awe Rais kuliko hawa watatuuza
 
MKAMA6 aka mchungaji aka mjita
....ya kaisari muachie kaisari
...alafu mtafute Mwalim wako wa lugha akunyooshe kidogo.
 
Last edited by a moderator:
JF imepungukiwa watu wenye uwezo wa kujadili hoja. Wamebaki mazombi tu wanaotumia hisia kuzungumza!

Mleta mada upo sahihi sana, ila kutokana na upuuzi wa wachache unaonekana hujaweka cha maana.

Kupanda costa moja watu 152 sio hoja, inaweza kwenda na kurudi.

Ni ujinga kumwambia mleta mada kwanini asingeuliza pale pale. Sababu kualikwa kwako hakumaanisha ukakubali kila kitakachofanywa! Pili inaonekana kikao hakikuwa cha maswali na majibu.. Ni presentation tu. Tatu, sio kila swali unaweza kuuliza moja kwa moja kwenye hadhara, bila kuangalia pros and cons.. Inawezekana mleta mada amefikiria swali lake akaone sasa ndo wakati wa kuuliza, na kwakuwa hawapo tena kwenye mkutano, basi kwenye mitandao ya kijamii ndo mahala pake (ref. Mwigulu, Nape na wengine wapo humu), kwa kuwa Makamba ni muumini mzuri sana.

Zaidi ya hapo, si kila anayehudhuria mkutano ana lengo la kupiga makofi, wengine wapo kazini kujua mambo mbalimbali na kuuhabarisha uma kama hivi.

Alichofanya Makamba ni rushwa ya waziwazi..

HAIKUBALIKI!!
Inaudhi kuona akili ndogo inatawala akili kubwa hapa JF. Huu ni uwanja wa kupashana habari. Mleta mada kama asingeleta tusingeyajua hayo. Hivi kweli haya maswali angeliuliza hapo ukumbini angetoka mzima? Tuache ushabiki wa kiajabu ajabu. Ni vyema ukasoma na kama hutaki unapita tu. Mtoa mada ana point muhimu mengine funika mwanaharamu apite.
 
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa
.
walikaa masaa mawili,, wao walikuwa 152, kama kila mtu angeuliza swali kwa dakika 1 basi wao peke yao wangetumia zaidi ya masaa 2 kabla ya mtoa mada kujibu. mazingira huenda hayakuwa rafiki
 
Kama kuna ukweli wa haya mambo, hao wachungaji nao njaa imekaba mbaya. Sipati picha waliotoka mbali safari waliianza saa ngapi na konddo wao waliwalisha saa ngapi.
Ninavyojua ratiba za ibada za hayo makanisa mbali na katoliki, ibada nyingi huisha jioni,
Sasa waliwatelekeza waamini au walifanya chapuchapu ili wawahi posho kwa January???????
Tusiamini kila liandikwalo kabla ya kulipima.
 
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa

Hapana. Usimtetee. Mwache january ajitetee. Wengine hatukuyafahamu haya. Issue ya Urais is getting serious and more serious. Inawezekana huyu Jakaya wetu anauchapa usingizi ikulu. Matokeo yake ndio haya. Kila mtu anadhani anaweza kuwa rais.
 
Tazama avatar yake alieandika hayo,na pia huyo member namjua sana kwa michango yake hapa jukwaani,Yule ni cdm pure,

na ww usijifiche kwenye kivuli cha " Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tz". Huu ni upuuzi tu! sema wazi kuwa wewe ni walewale wa "Ujangili+ubakaji+usambazaji na utumiaji sembe+ufisadi+uuaji=CCM". Hatuoni sababu ya ww kuitetea au kuisema ccm!
 
Hapana. Usimtetee. Mwache january ajitetee. Wengine hatukuyafahamu haya. Issue ya Urais is getting serious and more serious. Inawezekana huyu Jakaya wetu anauchapa usingizi ikulu. Matokeo yake ndio haya. Kila mtu anadhani anaweza kuwa rais.

Mkuu heshima kwako
Hakuna sehem nimemtetea January mimi,ngoja nikupe msimamo wangu ujue,acha nafasi ya urais anayotaka makamba hiyo nafasi ya uwaziri bado amepwaya mno hafai,

Nachopinga mimi hapa UnafikI,mtu kishakula posho na mtu walikiwa nae aliyasema hayo mbele yao,busara ilikuwa pale pale angemuuliza hayo maswali halafu sisi hapa angetueletea maswali na majibu Yao nadhani umenielewa
 
Makamba Jr naye anataka kuwa Rais wa Tanzania.... aliyeturoga sisi alishakufa
 
Mleta mada ndio mpuuzi na ww unauhalalisha upuuzi wake sijui nakuekewe kama nilivyo muelewa yeye? Mleta mada angemuliza Januari haya aliyo yaleta hapa halafu angetuletea hayo maswala alio muuliza Januari na majibu ya Januari sio kuja kumuuliza Januari kupitia hapa jf.

Kama huna cha kuandika nyamaza kimya. Sisi kama wananchi tunataka majibu ya maswali yaliyoulizwa hapa. Usimtetee January.Mwisho wake umefika. Ningelikuwa Kikwete, ningemfuta kazi January kwenye re-shuffle inayokuja, hopefully January 2014.
 
Hii nchi ipo siku hata kenge atatoka majini autake urais na tusipokuwa makini tutampa huo urais
 
So Kumshabikia ZITTO ndio U-Tanganyika?

Labda ni kutonye kuwa huo ni U-Kigoma au U-Dini.

Ushahuri wa bure ni kuwa jipambanunueni tu kwa vyma vyenu, Kama wewe sio CCM na pia ipi wazi sio chadema je Unashabikia chama gani? Usiniambie unashabikia Mtu.

Cuf nini wewe?

Nje ya hapa mimi nawewe nadhani tunafahamiana,sihitaji kulumbana na wewe kwa lolote,endelea na msimamo wako niache na misimamo yangu hiyo ndio demokrasia ingekuwa wote wana mawazo aina moja leo ingekuwa ni ccm pekee katika vyama Tanzania,
Nasisistiza mimi ni mtanganyika sijui kama limekukera hilo!!
 
Ndugu wana jf na wa Tanzania kwa ujumla ,leo katika sikukuu hizi za Noel na Mwaka mpya na taka niwapashe yaliyo jili katika jijij la Mwanza .Jana nili bahatika kukutana na January Makamba katika hotel ya Victoria Palace,alitukusanya tulikuwa Wachungaji na Wainjilisti 152 kutoka kakitika madhebu mbalimbali ya kikristo katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Mara,na Kagera.Kikao kilianza saa mbili na dakika hamsini na tisa usiku na kumalizika saa tano na dakika ishilini na tatu usiku.Katika kikao hicho January alikuwa amevalia suti yake nyeusi na shati nyeupe ikiambatana na tai nyekundu, kweli kijana ulipendeza kwa vazi hilo cha kunisiki tisha ni pale ulipo anza kujifananisha na nabii Yeremia,nilikusikiliza ukisoma kitabu cha Yeremia moja na kwamba kwa maneno yaliyomo katika kitabu hicho yanakushawishi kutangaza nia ya kugombea uraisi mwaka 2015 vivyo unatuomba sisi watumishi wa Bwana tukuunge mkono na tuwashawishi waumini wetu pia.Ndugu January nikweli unashauku ya kuwa Raisi wa Tanzania lakini naomba nikuulize kupitia waraka huu maswali yafuatayo

1. Watanzania wameshuudia chama chako kupitia wabunge wake mkimzushia mmoja wa viongozi wakuu wa upinzani kwamba alifanya siasa za udini kwa kukutana na watumishi wa Bwana kule Arusha ,sasa hiki ulicho kifanya jana ni Kuharalisha udini au ulikuwa unabadili dini?.

2.Mfuasi wako uliye mtuma kuandaa kikao hicho,Bwana Mustafa kada wa chama cha mabinduzi nikati ya watuhumiwa ,wa mipago hovu ya kuandaa vijana waliyo kwenda na nia ya kudhuru kule Kigoma hivi majuzi sasa nikuulize unapata wapi mamlaka ya kimahadili ya kuandaliwa kikao na mtuhumiwa wa utesi tena kikao na watumishi wa Bwana uoni kwamba unamsanifu Mungu?.

3.Ulitupatia posho ya shillingi elfu hamsini kwa kila mmoja wetu,ulitupatia chakula na vinywaji ,ulitukodishia hoteli, ulitukudishia gari aina ya costa no T926 BDP mali ya bwana Mukeshi ambayo ndiyo ili beba mabaunsa wa Matata kwenda Kigoma hivi majuzi,gharama zote ni takribani millioni ishilini tunashukuru lakini tujiulize,hizo pesa za kutuonga ulipata wapi?,kwanini unataka kununua Uraisi?,Je kwa pesa hiyo unge chonga madawati mangapi kwa ajili ya watoto wanao kaa chini uko Bumbuli? na je unafikili kutuonga sisi utakuwa umewaonga na waumini wetu?.

4.Wewe ni mshilika wa Bwana Rowasa,ambaye pia anakiu ya Uraisi kama wewe lakini pia wewe pia ni mshilika wa Ngeleja ambaye pia kiu ya Uraisi sasa niku ulize tumpigie debe nani kati yenu? ,au mnatafuta kura za sambusa yaani wawili tujitoe mmoja apite?.

5.Umelifanyia nini taifa mpaka uone unaweza kuwania Uraisi,wakati suala la tozo za simu ambalo ni mzigo wa dhambi kwa wananchi,limekushinda ukiwa kama naibu waziri wa wizara usika au una maslahi na makampuni ya mawasiliano,kama sivyo uoni ukiwa Raisi utaleta na kodi ya kusikiliza redio.

6.Unalisemeaje suala la operationi tokomeza ujangili ambayo imetesa na kuuwa wasiyo na atia wakati watuhumiwa wa ujangili akiwemo kinana katibu mkuu wa chama chako bado wana kula bata?.

7'Tuambie nini kimekushawishi kuwa na nia ya kuwa Raisi?.

8.Tuambie nikiongozi ghani wa upinzani unaona anaweza kuwa Raisi kama wewe utopata fursa ya kuwania uraisi?.

9.Kunatetesi kuwa wewe na baba yako mlishiliki kumuondoa Sherukindo kwenye nafasi ya kuwania ubunge jimbo la Bumbulina kukupitisha wewe bila kupingwa kwenye CCM,Sherukindo aliye kuwa mwenyekiti wa kamati yakudumu ya Bunge ya nishati na madini ambaye alisimama kidete juu ya kashfa ya Rich mond iliyo muondoa Rowasa kwenye kiti cha uwaziri mkuu,ambaye ni swahiba mkubwa kabisa wa Mzee Makamba baba yako aliye kuwa katibu mkuu wa CCM?[Comflictof interest] leo ukifanikiwa kuwa raisi si utatengeneza mamlaka ya kifamilia?.

10.Nikumbushe ile divishion four ya formu six kule kigoma uli isafisha lini?.Au na wewe ni muhumini wa division five

11.Niambie leo unawambia nini wa endesha boda boda wa Mwanza au unaomba day waka?.

Mwisho jipime
Na wewe ni mwana siasa uchwara usiye na aibu
images
 
Mkuu heshima kwako
Hakuna sehem nimemtetea January mimi,ngoja nikupe msimamo wangu ujue,acha nafasi ya urais anayotaka makamba hiyo nafasi ya uwaziri bado amepwaya mno hafai,

Nachopinga mimi hapa UnafikI,mtu kishakula posho na mtu walikiwa nae aliyasema hayo mbele yao,busara ilikuwa pale pale angemuuliza hayo maswali halafu sisi hapa angetueletea maswali na majibu Yao nadhani umenielewa

Kaka nimekulewa. Nadhani ni suala la "methodology" iliyotumika. Wewe unashauri alete maswali na majibu. Upo sahihi. Lakini nadhani mleta mada alikuwa anahofia usalama wake. Manake siku hizi watu wanamwagiana tindikali mchana kweupe.

 
mkama6.
Wewe ndugu yangu ni mchungaji wa watu au unachunga nini? Kwanini wachungaji mmekubali kuhongwa na January huku mkijua kupokea rushwa ni dhambi kubwa mbele za Mungu? Kilichokufanya usihoji haya maswali yako ya chuki na kinafiki mbele ya January ni nini mpaka uje huku jf kwa id za uchochoroni? Ninani amekuambia Shelukindo alikuwa na msaada wowote kwa watanzania hasa huko jimboni kwetu alikokuwa mbunge kwa miaka kumi na tano? Unapajua Bumbuli au unaandika tu ili kutimiza lengo lako ovu la kumchafua january makamba. Unajua Bumbuli kwasasa kuna miradi kadhaa inayowanufaisha wanawake na vijana kwa ujumla na ameinzisha ndugu JMakamba. Je unafahamu kuwa Bumbuli ipo njiani kuwa na tawi la benki ya NMB na jengo la tawi hilo ndio linaelekea mwisho na yote kayafanya January Makamba? Unasema kodi ya simu kashindwa kushughulikia tatizo kweli upo Tanzania hii au ndio hawa kina MM ambao hurushia makombora yaoya kinafiki kutoka nje? Hujui kuwa kodi ya simu iliyokuwa imeelekezwa kwa wananchi kuchangia kila mmoja 1000/= imefutwa na kuhamisha kwenye makampuni ya simu za mikononi? Unafiki huo uliouleta hapa unakusaidia nini wewe unaejita muinjilisti/askofu? Kumbe kwenye mafunzo yenu siku hizi mnafundishwa kuongea uongo? Pole sana hata ivo umefeli kabla hata hujaandika upu.uzi wako hapa. Kajipange tena au rudi huko kwenye mafunzo yenu ili ukajifunze jinsi ya kufanya majungu na propaganda.
 
Last edited by a moderator:
Mbona urais umekuwa so cheap,huyu dogo kuandika hotuba za JK urais tayari.
Lakini sishangai ile e mail ya Mwanvita akiomba mchango toka kwa hawala wake hili kufadhili kampeini za January kuelekea uchaguzi wa ubunge Bumbuli,ilijitanabaisha vyakutosha jinsi walivyokamia kutafuta madaraka hata ikibidi kuuza nchi.
JK anawajibika kuzuia upuuzi huu ndani ya chama na serikali yake.
 
Back
Top Bottom