Pole Frank, mchumba hasomeshwi


Hii mada imenikomboa saana...
 
Hiv wewe ndolobo Kweli karne hii bado unasomesha Demu au Kufanya biashara na Demu eti utasikia jitu zima linatunziwa pesa na Demu ovyoooo
 
Frank atakuwa amepata somo zuri sana....


Bora huyu amemtafutia kazi lakini huyu make snamlelea mtoto wake.
 
Yani ukitaka ugonjwa wa presha ujanani fanya hisani hio kwa mwanamke utajuta. Mimi kuna jambo nkikumbuka natamani kugeuka lusifa sema tuu nimelichukulia ustaharabu tuu japo najua kuna hawa watu wasikie tuu.

Funguka baba,..funguka.
 
Nilidhani labda kamkuta ameolewa. Kumbe kamkuta na mimba. Kwa wanachuo kuishi kama mke na mume ni kawaida sana.
 
Mtusomeshe tu jamani, kwani hamjawahi kusikia msemo "tenda wema nenda zako"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…