mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 479
brainless thread!
Haswaa hawa jamaa noma sijui wanavuta bangi ya wapi, si MASONY, SI MDENDE SI SUALA , afadhali kidogo KG na MSITU ni wastaarabu. mimi ningekuwa na uwezo ningewashauri KG na MSTU wakaanzisha chama cha WastaarabuCdm ndio chama cha wavuta bange
Unajua hawa jamaa bwana hiyo sasa ndo silaha yao kubwa iliyobaki, kujenga mazingira ya kukataa matokeo na nadahani hato ni matokeo ya kushindwa siasa. Look here , Hakuna kulala mpaka kieleweke, ccm ni wezi wa kura, sasa wamekwenda mbali wanafanya matukio wanasema ni CCM wenyewe, Watambue kuwa kuna "THE HAGUE" Huyu jamaa yao analipa fadhila za kulipwa milioni 12 kwa mwezi kwa propaganda chafu hata mbele za sir GodCdm wana tabia za usimba na uyanga. Always hawakosi VISINGIZIO pale wanaposhindwa. Leo hii simba or yanga hata wakicheza na Barcelona wakifungwa utasikia oh kocha mbovu,mabeki waliongwa,waamuzi walipendelea,walitulaza njaa et cetera!! The same like cdm,wakishindwa visingizio kibao vya kitoto na vya kiuchokozi! Mara oh ccm wameiba kura,mawakala wetu waliongwa,maboksi ya kura yameingizwa,wapiga kura kutoka nje waliongwa,kompyuta zimechakachua,crap crap crap et cetera! Mfano uchaguzi mkuu uliopita ccm walipata wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya 170 and cdm walipata kama 20 hivi, then wanasema eti kura za uraisi walishinda!!! What a crap!! Hata kichaa ukimpa hizo statistics then ukimwambia eti cdm ilishinda urais atakuona wewe ni kichaa zaidi yake!!RAIS ANA WABUNGE 20!!! KWA HALI ILIVYO IGUNGA NOW NO WAY CHADEMA WANAWEZA KUSHINDA,NO WAY!! Nawaomba sana cdm wakubali matokeo next week baada ya kukamuliwa na waache visingizio vyao vya kitoto vya Yanga na Simba.
Mbowe ameshakataa kwenye mikutano yake yote ya kuwanadi wagombea udiwani wa CDM kwamba CCM huwa wanaiba kura. Amesema hakuna kura zinazoibiwa ila wagombea huzembea kusimamia upigaji kura. Sasa hii dhana ya kusema CCM wanaiba kura inatoka wapi wakati mwenyekiti wetu wa taifa keshasema CCM hawaibi kura?............ ccm ni wezi wa kura......
Mbowe ameshakataa kwenye mikutano yake yote ya kuwanadi wagombea udiwani wa CDM kwamba CCM huwa wanaiba kura. Amesema hakuna kura zinazoibiwa ila wagombea huzembea kusimamia upigaji kura. Sasa hii dhana ya kusema CCM wanaiba kura inatoka wapi wakati mwenyekiti wetu wa taifa keshasema CCM hawaibi kura?
Labda tuwe hatumuamini Mwenyekiti wetu katika hili la CCM kuiba kura.
Unajua hawa jamaa bwana hiyo sasa ndo silaha yao kubwa iliyobaki, kujenga mazingira ya kukataa matokeo na nadahani hato ni matokeo ya kushindwa siasa. Look here , Hakuna kulala mpaka kieleweke, ccm ni wezi wa kura, sasa wamekwenda mbali wanafanya matukio wanasema ni CCM wenyewe, Watambue kuwa kuna "THE HAGUE" Huyu jamaa yao analipa fadhila za kulipwa milioni 12 kwa mwezi kwa propaganda chafu hata mbele za sir God
cdm wana tabia za usimba na uyanga. Always hawakosi visingizio pale wanaposhindwa. Leo hii simba or yanga hata wakicheza na barcelona wakifungwa utasikia oh kocha mbovu,mabeki waliongwa,waamuzi walipendelea,walitulaza njaa et cetera!! The same like cdm,wakishindwa visingizio kibao vya kitoto na vya kiuchokozi! Mara oh ccm wameiba kura,mawakala wetu waliongwa,maboksi ya kura yameingizwa,wapiga kura kutoka nje waliongwa,kompyuta zimechakachua,crap crap crap et cetera! Mfano uchaguzi mkuu uliopita ccm walipata wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya 170 and cdm walipata kama 20 hivi, then wanasema eti kura za uraisi walishinda!!! What a crap!! Hata kichaa ukimpa hizo statistics then ukimwambia eti cdm ilishinda urais atakuona wewe ni kichaa zaidi yake!!rais ana wabunge 20!!! Kwa hali ilivyo igunga now no way chadema wanaweza kushinda,no way!! Nawaomba sana cdm wakubali matokeo next week baada ya kukamuliwa na waache visingizio vyao vya kitoto vya yanga na simba.
Wewe ndo umepotea kabisa! Huko kenya tofauti ya wabunge ilikuwa ni 150 kama ccm na cdm?
Cdm wana tabia za usimba na uyanga. Always hawakosi VISINGIZIO pale wanaposhindwa. Leo hii simba or yanga hata wakicheza na Barcelona wakifungwa utasikia oh kocha mbovu,mabeki waliongwa,waamuzi walipendelea,walitulaza njaa et cetera!! The same like cdm,wakishindwa visingizio kibao vya kitoto na vya kiuchokozi! Mara oh ccm wameiba kura,mawakala wetu waliongwa,maboksi ya kura yameingizwa,wapiga kura kutoka nje waliongwa,kompyuta zimechakachua,crap crap crap et cetera! Mfano uchaguzi mkuu uliopita ccm walipata wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya 170 and cdm walipata kama 20 hivi, then wanasema eti kura za uraisi walishinda!!! What a crap!! Hata kichaa ukimpa hizo statistics then ukimwambia eti cdm ilishinda urais atakuona wewe ni kichaa zaidi yake!!RAIS ANA WABUNGE 20!!! KWA HALI ILIVYO IGUNGA NOW NO WAY CHADEMA WANAWEZA KUSHINDA,NO WAY!! Nawaomba sana cdm wakubali matokeo next week baada ya kukamuliwa na waache visingizio vyao vya kitoto vya Yanga na Simba.
Kazi kweli kweli na wazazi wamekulipia ada eti uwende shule ili uje upotoshe wadaganyika vizuri kama nyinyiem,thithiem.
PNU vs ODM nani mpaka leo ana wabunge wengi bungeni na raisi ni nani?Dont be min in reasoning.
cdm wana tabia za usimba na uyanga. Always hawakosi visingizio pale wanaposhindwa. Leo hii simba or yanga hata wakicheza na barcelona wakifungwa utasikia oh kocha mbovu,mabeki waliongwa,waamuzi walipendelea,walitulaza njaa et cetera!! The same like cdm,wakishindwa visingizio kibao vya kitoto na vya kiuchokozi! Mara oh ccm wameiba kura,mawakala wetu waliongwa,maboksi ya kura yameingizwa,wapiga kura kutoka nje waliongwa,kompyuta zimechakachua,crap crap crap et cetera! Mfano uchaguzi mkuu uliopita ccm walipata wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya 170 and cdm walipata kama 20 hivi, then wanasema eti kura za uraisi walishinda!!! What a crap!! Hata kichaa ukimpa hizo statistics then ukimwambia eti cdm ilishinda urais atakuona wewe ni kichaa zaidi yake!!rais ana wabunge 20!!! Kwa hali ilivyo igunga now no way chadema wanaweza kushinda,no way!! Nawaomba sana cdm wakubali matokeo next week baada ya kukamuliwa na waache visingizio vyao vya kitoto vya yanga na simba.
Kwa hiyo wewe matokeo umeshayafahamu tayari? Na kwa nini usiwaambie magamba wakubali kwamba wananchi hawawtaki na waache uchakachuaji??Nawaomba mkubali matokeo cdm! Visingizio vyenu vya kitoto watz wapenda amani tumevichoka
Vp na nyie mkishindwa mtakubali matokeo au ndo mtaenda mahakani kama akina Hawa Ng'humbi na Batilda??
Wame kataaje matokeo ya uchaguzi ambao bado hauja fanyika??????????
Hauna cha kuandika nini? Tutolee pumba zako hapa, kweli nimeamini umetumwa mwita25 una majina mengi ili uendelee kuchafua hali ya hawa kwa masabuli yako.Ninajua tu ndiyo kitakachotokea kesho
Unachekesha!tangu lini mtu akashinda alafu akakataa matokeoImekuwa desturi sasa kwa Magwanda kukataa matokeo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi. Hii imekuwa ikileta matatizo mengi sana hasa katika majimbo husika. Hali kama hii tusingependa itokee kesho kwani serikali imejitahidi sana kuweka kila kitu katika hali ya uwazi na ukweli. Kwakweli magwanda mkikataa matokeo ya uchaguzi wa Igunga mtakuwa mna lenu jambo
Hauna cha kuandika nini? Tutolee pumba zako hapa.Ninajua tu ndiyo kitakachotokea kesho