SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Ninajua tu ndiyo kitakachotokea kesho
Huu ni ushahidi kuwa CCM mumeshapanga matokeo kabla ya uchaguzi haujafanyika. Za mwizi ni arobaini,na arobaini ya majambazi CCM ni kesho tarehe 2/10/2011. Kauli yako mwita 25 inalingana na kauli aliyotoa Gen. Shimbo kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010, asante kwa taarifa hii ya ki intelejisia na tunaifanyia kazi