Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...
Njaa? Karne hii kweli kama wataka kula utalala njaa?
Hawa ndo watongoza afu wanauliza jinsi ya kuomba gem, lol...
yani imebidi nikuiteAcha kulalama kaka, real men hawafyati mikia kama pappy, nani kakambia mapenzi ni pesa, good looking unata upake wanja sio. Love is all about the Chemistry.....!!!
Ningekuona wa maanaana sana kama ungeuambia uta fight kwa meno na makucha kuhakikisha una mkeep girl wako......
Swts dear anaongea nini huyu....
First, this dude is a wimp.
Second, he is an embarrassment to all manly men all around the world.
Third, he is the epitome of a girly man.
And for that, he gets his man card stripped, then he needs to get his ass whupped and sent to a boot camp somewhere.
Hopefully that will toughen him up a bit.
Huyu jamaa anadhalilisha uanaume huyu. Sisi wazee inabidi tumuite kwenye mahakama ya wanaume ajieleze kama bado anastahili kuwa na tuzo adhimu ya uanaume.Pumbavvvvvv mwanaume gani unajiliza kibwege namna hiyo kisa mwanamke?
Inawezekana bado ni mvulanaHuyu jamaa anadhalilisha uanaume huyu. Sisi wazee inabidi tumuite kwenye mahakama ya wanaume ajieleze kama bado anastahili kuwa na tuzo adhimu ya uanaume.
I feel terribly sorry for your Mom and Dad...I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...
Nimekupata, sasa next time unakuja Mwanza usiache kunitafuta. Nitakuunganisha na Wakara@Gwankajadem si ndo mwanzo wa mke wa ndoa......huyo daniel amuache dem wa mwenzake atafute wake maugomvi ya nini?
Unaweza ukalala njaa aisee......ila baadaye akili ikikusogea ndo unaweza kuwaza vizuri na kufanya mpango wa chakula kingine tofauti na ulichokuwa unakitaka.
BTW; yule dogo nae bhana.....hahahahah!!! ataelewa tu kadri desire yake inavyozidi kuongezeka!
yani imebidi nikuite
He is an embarrassment to society therefore no need to waste my time. SMDH!!!