chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Ndugai alishasema atalinda ubunge wao, mwanasheria mkuu kasema wasiguswe, kazi ipo, utawala hawaelewi kuwa unawakera watu wengi sana, wapige hesabu, kura walizoiba+kura walizotangaza za upinzani, karibu 50%ya kura zote, bado wanajifanya manunda!