Dawati la jinsia kufanya nn wakati haki inapatikana mahakamani na si vinginevyo
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Katiba ya CHADEMA inasema mtu akipeleka Shauri la chama mahakamani amejifukuza chama hilo ni kosa pia la kufukuzwa chama sababu hata jana wameambiwa wanaweza kata rufaa halmashauri kuu ya chama sasa kwenda mahakamani ni kukiuka katiba ya CHADEMA