Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

Dawati la jinsia kufanya nn wakati haki inapatikana mahakamani na si vinginevyo

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app

Katiba ya CHADEMA inasema mtu akipeleka Shauri la chama mahakamani amejifukuza chama hilo ni kosa pia la kufukuzwa chama sababu hata jana wameambiwa wanaweza kata rufaa halmashauri kuu ya chama sasa kwenda mahakamani ni kukiuka katiba ya CHADEMA
 
Time will tell.

Tuone hili sakata litaisha vipi. Iam sick and tired of being sick and tired

Kwa mujibu wa katiba Yes

Ila.........let us give time to time. Yajayo.......

Ni kweli na jana ulisema Magufuli ndio katiba na sheria. Ngoja tuone kati ya katiba na rais nani ana nguvu.
 
Hilo tunalijua vzr,na usifikiri Kama wao ni wajinga hawajui Sheria,ipo hv Jambo hili limefanyika makusudi na vyongozi wajuu wa chadema walilipa baraka japo hawawezi kukubali wanabakia wakisema nyaraka zimegushiwa,utakubaliana na mm kuwa tume inabarua ya uteuzi kutoka chadema na hiyo barua nikielelezo mahakamani kuwa wameonewa na kesi itaenda mahakamani na kusikilizwa chap shahidi no moja akiwa mwenyekit wa tume na ina tolewa hukumu ndani ya mwezi mmoja na bunge lijalo kina Halina ndani ya mjengo

Viongozi wa CHADEMA hawana uwezo wa kumchagua mtu aliye mahabusu anakwendaje kula kiapo hata mtu mjinga kabisa anaelewa kuwa hapo CHADEMA hawajahusika ndiyo maana hata hao covid wameogopa kwenda kwenye kikao japo walikuwa wanajimwamnafai ati wanamshukuru Mbowe nyokoo Mbowe gani huyo mnayeogopa hata kumtazama usoni sababu ya usaliti wao
 
kesho kutwa chadema ipeleke majina stahiki wakaapishwe bungeni, hawa wasaliti warudi nyumbani wakalee familia

Hakuna kupeleka majina kwenye hiyo Bunge la wizi wa kura wabakie hao CCM wanaweza mambo ya wizi CHADEMA ni chama kinachojitambua hakiwezi kuwa sehemu yahuo uchafuzi uliofanyika tarehe 28/10
 
Kumfuta Uanachama Mtu ni mchakato wa Kisheria & Kikanuni pia

Mchakato huo ili ukamilike haushii kwenye Kamati Kuu ya Chama husika pekee bali unaenda hadi ngazi ya Mahakama ya Rufaa!

Hivyo Mdee na wenzake 18 bado ni kiuhalisia Wabunge hadi itakapoamuliwa vinginevyo
na mamlaka husika kupitia mchakato huo!

Mzee wetu amekuwa na haraka mno kutoa hitimisho kana kwamba mchakato ulipoishia Ilikuwa Halali Kisheria na kuwa suala hilo limehitimishwa!

Katiba ipo mahsusi kulinda haki za wote na sio maamuzi ya Uongozi Wa Chama pekeyake!

Tusubiri mchakato ukamilike Kabla ya kutoa hitimisho

Mamlaka ya kupendekeza hao wabunge haikupendekeza hao kisheria hukuwahi kuwa wabunge sababu wamependekezwa kwa barua ya kugushi sasa hiyo mahakama itawasaidiaje watu ambao chama chao hakukuwa kimewapendekeza wamependekezwa na NEC badala ya chama
 
Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.

"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.

Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.

Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.

CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Hii aione comrade Pascal Mayalla
 
Huo ndio ukweli mchungu. Wakatafute chama cha kuchezea siyo chadema.
Wanaenda mahakamani kupinga hayo maamuzi afu mahakama inatengua maamuzi ya chadema ya kuwavua uanachama wao mpaka shauri lao litakaposikilizwa hivyo wataendelea kuwa wabunge.

Hii ni kwa mujibu Wa sheria
Rejea issue ya Zitto Kabwe kufukuzwa chadema lakini akabaki kuwa mbunge.
Rejea pia issue ya Cecil Mwambe.
 
Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.

"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.

Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.

Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.

CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Every one knows this constitutional article. It is only the hard heads like Ndugai that violate it maliciously. Our lawyers and judges are dumb and mum; looking helplessly at Ndugai and his associates using the constitution as a toilet material. It is a pity!
 
Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.

"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.

Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.

Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.

CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Lakini tukumbuke Magufuli, Ndugai na Ibrahim Juma wamejitungia Sheria ya kutoshitakiwa Ikiwa watafanya makosa ya Ukiukaji wa Katiba na Sheria za nchi wakiwa madarakani...

Kwa hivo kama walivokiuka Katiba kwa kuwateua akina Mdee, wakakiuka Kanuni za Bunge kuwaapisha, na wakaahidi kuwalinda kwa "NGUVU ZOTE" (maana yake hata katika Mazingira ya Kuvunja Katiba), Basi akina Mzee Mdee wataendelea kuwa "WABUNGE"

Tukumbuke Wabunge wa CCM na Magufuli mwenyewe hawajachaguliwa na Mtu yeyote kushika nyadhifa walizo nazo, So hawa Washenzi hawataona Aibu kuwa na akina Mdee Bungeni

Ni Upumbavu sana kuacha nchi iongozwe na Huyu mpuuzi
 
Mzee msekwa angeulizwa,
He, iwapo CCM wakiamua kuwapeleka kina Halima Mdee na henhw lake mahakamani ili wakaweke zuio la kupingwa kufukuzwa uanachama,

He, wataendelea kuwa wabunge?
Cc.
Cha ajabu Leo jumamosi utasikia mahakama zimefunguliwa na tayali kina Covid 19 wameshafungua mashitaka.
Kikatiba; hawataendelea kuwa wabunge hadi shauri lao liamliwe kwa wao kushinda. La sivyo, imekula kwao; labda Ndugai atumie mabavu kama kawaida yake.
 
Kichekesho cha asubuhi,
Akihojiwa na Azam FM Radio, Propesa Kitila Mkumbo amedai kuwa hata baada ya kuvuliwa uanachama, akina Halima watakuwa wabunge wa Jamhuri. Lakini huyohuyo pia kawataka kwenda mahakamani kudai uanachama wao.
Kama wanajua kwamba watakuwa wabunge wa jamhuri kwa nini wasibaki hivyo, kwa nini waende mahakamani
 
Kichekesho cha asubuhi,
Akihojiwa na Azam FM Radio, Propesa Kitila Mkumbo amedai kuwa hata baada ya kuvuliwa uanachama, akina Halima watakuwa wabunge wa Jamhuri. Lakini huyohuyo pia kawataka kwenda mahakamani kudai uanachama wao.
Hawa wanaojiita Madoctor awamu hii hata huwezi kuwaamini, kuanzia na Dr mkuu
 
Kikatiba; hawataendelea kuwa wabunge hadi shauri lao liamliwe kwa wao kushinda. La sivyo, imekula kwao; labda Ndugai atumie mabavu kama kawaida yake.
Hivi huyu yupo JUU ya sheria? Mbona anamwangusha mzee John Malecela?
 
Back
Top Bottom