LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,213
- 14,924
Wakati wa utawala wa Mwalimu na waliomfuatia hadi awamu ya nne ulikuwa hupewi cheo cha kuteuliwa na Rais bila file lako kupitia taasisi za usalama nawe mwenyewe kuchunguzwa na familia yako hadi wajiridhishe ndipo wampe Mh Rais go ahead.Pius msekwa umenena baba. wazee wenye busara Kama hawa naona wako kimya huku mtumbwi unazama
Sasa Rais akiamka asubuhi akimbuka kuna ndugu yake alikuwa fundi viatu anaamua ampe kazi ya mkurugenzi. Bila taasisi husika kujiridhisha. Haya ndiyo yanatokea. Mara mkuu wa mkoa amekuwa polisi, mwalimu, mwanajeshi, yaani ni shida. Mkurugenzi nae anaamua from no where anawafungia madiwani ofisi na tupo tuu.. Lazima ifike mahali tufuate utawala wa sheria..