Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,904
Haitakaa itokee, ni bora mama afungwe lakini siyo mtoto wake.
kuna haja ya kuwa na katiba ya kumuwajibisha hata yule shetani mkuu iwapo atazidisha kutenda na kuhamasha dhambi.Hiyo miaka Saba na Malaika mkuu anaangalia tu.....!!??
nani amwandikie wakati kasema kabla ya kumhoji mkemia awapime ngada kwanza, wakayeyusha eti walikuwa wanatania tu,Huyu Msekwa anajua anachokisema , shida watamwandikia wito lini ?
muhimili mmoja ndio umetupa katiba, ila mihimili mingine (hasa bunge) bado ina katiba. bunge lisimame imara, mahaka nayo japo inaonyesha udhaifu, nayo itasimama imara japo kwa kuchechemea.Miaka saba kwa Katiba hipi?
Maana Katiba imewekwa pembeni tunanyoosha kwanza inchi.
kamuulize mheshimiwwa Sugu afafanue kauli yake ya marinda.Hivi Magufuli na Makonda wana mahusiano wengine zaidi ya kuteuana???!!!
Pombe ni nani?Hivi mawakili wanao mtetea Mh. Mbowe sinao watakamatwa kama Pombe alivyo agiza
Pius msekwa umenena baba. wazee wenye busara Kama hawa naona wako kimya huku mtumbwi unazama