Amenena nini; au umeshasoma gazeti? Kama umeshasoma gazeti tudadavulie sisi tulio mbali na ustaarabu!Pius msekwa umenena baba. wazee wenye busara Kama hawa naona wako kimya huku mtumbwi unazama
Msekwa naye jipuuuuu!!!
Kwa hiyo mahakama inauza madawa, au sijakuelewa?Wauzwa madawa ya kulevya hawana ujanja huo kwa awamu ya tano
Na likitumbuliwa usaha wake huwa unanuka mno.[emoji87]Hahahaha linauma hilo we acha tu tetetetetetetetetete
Tupe habari nzima
Mzee Warioba....Nakusalimia ki mila na desturi zote za sisi watanzania...kwa kiswahili nasema Babu Shikamoo..
Baada ya hizo salaam naomba tuje kukuomba maombi yetu
Ahsante
Kwanza tunaomba ruksa ya kupeleka maombi yetuMbona hutaji kuwa tunaomba amsamehe kijana aliyempiga kofi ???????