Pius Msekwa: Jela yamnukia Makonda

Pius Msekwa: Jela yamnukia Makonda

Daaah wa TZ cjui tuna matatzo gani hv kwann unabishana na kiongoz ambae ameliongoza bunge kwa mda mrefu?
Hamtaelewana Msekwa amesema kwa kosa la kudharau wito wa Bunge mwenzio miezi sita anayosema ni kwa kosa la kukataa wito wa mahakama. Mkuu ana makosa mengi nae ameshakuwa mhalifu tu kama Manji .
 
Msekwa haogopi kuchezea mambata kama warioba?
 
Nadhani mzee atakua kaongea kutoka na uzoefu wa kuwa bungeni kwa muda mrefu zaidi akisimamia shelia kama spika wa bunge.
 
Wauzwa madawa ya kulevya hawana ujanja huo kwa awamu ya tano
Kwa hivi Unataka kusema hata huyu naye ni muuza madawa ya kulevya. Mbona mna kosa utu na heshima kwa wazazi wenu sababu ya ushabiki maandazi?! Kuweni na adabu kidogo kha!
 
Huyo ni mwanampendwa,heri kuvunja bunge na kuwatoa majaji na mahakimu wote kuliko huyo kuathibiwa. "Mimi pekee ndiye ninaruhusa ya kutangaza ....." "Mimi ninaposimama basi ni mungu amesimama"
Bro unajua safari mpk bunge na mahakama weshawachoka upumbavu wao daah wameona kama mbwai iwe mbwai tu
 
Back
Top Bottom