Huyo ni mwanampendwa,heri kuvunja bunge na kuwatoa majaji na mahakimu wote kuliko huyo kuathibiwa. "Mimi pekee ndiye ninaruhusa ya kutangaza ....." "Mimi ninaposimama basi ni mungu amesimama"
Pius msekwa umenena baba. wazee wenye busara Kama hawa naona wako kimya huku mtumbwi unazama
Hivi mawakili wanao mtetea Mh. Mbowe sinao watakamatwa kama Pombe alivyo agiza
Msamehe hajui hata anaonea niniKwa hiyo mahakama inauza madawa, au sijakuelewa?
Hahahashauri yake, anamuamini Magu. atamtwanga kama Kitwanga.
Daddy's little boy or daddy's favorite boyNgumu,mtoto pendwa huyo
Mzee anakumbuka pale "alipopigwa" na DaudiMzee Warioba....Nakusalimia ki mila na desturi zote za sisi watanzania...kwa kiswahili nasema Babu Shikamoo..
Baada ya hizo salaam naomba tuje kukuomba maombi yetu
Ahsante
Shikamoo sio destur yetu ni utumwa wa mwarabu kwa mwafrika hujamboo habar yako kama unataka kuweka heshima weka cheo baba mtoto babu mkuu na nk ndio heshima sio shikamoo ipo kibaguz yaan nipo chini ya miguu yako waarabu walitumia kuwadharau waafrica na kiwadhalilisha[/QUOTE]Shikamo ah"bibinnaa, post: 19828542, member: 410157"]Mzee Warioba....Nakusalimia ki mila na desturi zote za sisi watanzania...kwa kiswahili nasema Babu Shikamoo..
Baada ya hizo salaam naomba tuje kukuomba maombi yetu
Ahsante