Shikamoo sio destur yetu ni utumwa wa mwarabu kwa mwafrika hujamboo habar yako kama unataka kuweka heshima weka cheo baba mtoto babu mkuu na nk ndio heshima sio shikamoo ipo kibaguz yaan nipo chini ya miguu yako waarabu walitumia kuwadharau waafrica na kiwadhalilisha[/QUOTE]Shikamo ah"bibinnaa, post: 19828542, member: 410157"]Mzee Warioba....Nakusalimia ki mila na desturi zote za sisi watanzania...kwa kiswahili nasema Babu Shikamoo..
Baada ya hizo salaam naomba tuje kukuomba maombi yetu
Ahsante
Itakuwa vizuri tu sanaamelikoroga wacha alinywe
Akifungwa huyo mimi najipeleka gerezani mwenyewe na uniform nitashona kwa gharama zangu.Ngumu,mtoto pendwa huyo
Tanzania tuna wazee "midabwada"Hakika nampongeza Kwa dhati kabisa Mzee wetu Bwana Piusi Msekwa Kwa kuthubutu kumsema Malaika wetu " PAUL MAKONDA" Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.Mzee Msekwa amekerwa na tabia ya Paulo Makonda pamoja Na kauli mbalimbali anazozitoa .Makonda huyu aliwahi kutamka kuwa " Alipo yeye Mungu kasimama"Nampongeza Mzee Msekwa kwani Wazee wenzako wameshindwa kusema chochote kama vile hawaoni au kusikia.Pongezi kwako Mzee Msekwa Kwa kusema Ukweli.
Hakika nampongeza Kwa dhati kabisa Mzee wetu Bwana Piusi Msekwa Kwa kuthubutu kumsema Malaika wetu " PAUL MAKONDA" Mkuu .
Mbona povu??Hao wote ni kubanwa na kula pesa za wananchi, angenyamaza kimya sio kutukumbusha muda wao ulipita.
Bongo bongo kwa tabombekii..Unakwenda kasi kumbe huna vyeti,
What do you expect.
Mahakimu na majaji sasa waamke, wawe bold na wafanye kazi zao bila kuingiliwa.ni aibu kubwa kwa kiongozi kuidharau mahakama.ni sawa na kuisigina katiba.