Beautifulgirl
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 300
- 265
Daaah wa TZ cjui tuna matatzo gani hv kwann unabishana na kiongoz ambae ameliongoza bunge kwa mda mrefu?Miaka saba kwa katiba gani labda kama gazeti la raia mwema wamesahau kuandika mimi najua ukidharau wito wa Mahakama unafungwa miezi sita jela. Hizo Sheria za kukaidi wito wa bunge kufungwa miaka 7 hazina ukweli.