Pisi za South

Pisi za South

Hakuna KITU kaka usikute na WAO wanna wakubali wabongo SHIDA matunzo Hawa wetu njaa SANA maisha magumu. South wanaishi kishua just imagine pisi ya south ilikuja HUKU ETI ikashanga WATU kufua nguo kwa mkono vumbi la barabarani ETI ikauliza HIVI HUKU Kuna jangwa karibu. Vumbi sana .tetetetehhhh
Hahaha umezivunja mbavu zangu kwa kicheko. Ni kweli South kuna miji hakuna barabara ya vumbi hata moja kila sehemu ni barabara za rami kwanini wasishangae bongo?😄
 
Hawa jamaa sio wenzentu, south ni ulaya, baadhi ya nchi za ulaya hawaiifikii south,,,mkabulu aliijenga sana south na siku wakija kutawala tena kupitia chama chao cha DA south itakua habari ingine
Wao hawana kitu chochote hatari kwao kila kitu ni sawa tu kwa matumizi ya binadamu Nchi zetu masikini unaleta kitu hao TRA wenyewe wanakushangaa kwa kikokotea chao jinsi walivyoweka kodi kubwa.
 
Huu Uzi ni batili bila PICHA zao.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom