Pingu ya Muro


ndo maana nimemwambia cousin wangu akuulize coz i knw u knw that i know u knw!!!!!!!!!

B agiza online sasa of your choice tena nyingine zina manyoya ya sufi......

mkuu suala zima la kudai risiti kwa wabongo ni tatizo!!! mtu hata ukimpa risiti anakwambia aah mi sihitaji kaa nayo mwenyewe

(ila si kwa issue kama ya kununua silaha i hope)
 
Raia ya kawaida siku hizi ruksa kumiliki pingu ukimata kibaka unampiga pingu mpaka sentro

Fide wats wrong with your key board lakini??????????? unanipa kazi bana mi nimechoka!!!!!!
 
mbongo tz umenena na utenzi wako umetulia,na yale uloyasema hakika yatatokea,ada ya mja hunena muungwana ni vitendo
 


Nipeleke kwenye Sheria inayosema ni kosa kwa mtu asiyekuwa Polisi kumiliki pingu,
 

Wahi mapema maana Valentine day is around the corner.

Nyumba ndogo za MAPOLISI zinunuliwe hizi zawadi.



 
mbona mwingine yuko nje ya mabano? isije ikawa mambo ya MAGAZIJUTO!


Au kwa kimombo BODMAS!!!!
Tuacheni utani. Issue ya JM ni ya kuchonga!! Tusubiri game litinge mahakamani!! Na mashahidi nao watakuwa wa kuchonga!! Na wale watu wawili wanaounganishwa na kesi hii si wa kununua kweli?? Tusikie habari yake hapo baadaye!! Halafu dhamana hawapati maane eti ni matapeli sugu!!! Yaani JM anajihusisha na matapeli sugu!!!?? Tangu lini???!!! Tanzania inaharibiwa na viongozi wasio waadilifu!!!
 



wewe mkuu naona umechanganyikiwa yaani sina mbavu!

ila ulichosema ni kweli kabisa hakina ubishi.
 
Haki ya nani Mwanakijiji sikuwezi...nilikuwa nashangaa Pingu ya Muro yafata nini Jukwaa la Mapenzi.Unazidi kunimaliza baba wewe aa natania babu wewe..
 
manakijij nimekukubali ahsante sana kwa shairi lako...!!!
 
Malenga wa bara,
huu sasa uwanja wenu.
Inafurahisha pale thread hii,
inapochangiwa kishairi,
kama muanzilishi alivyo anza.
Si lazima kuweka vina kitaalamu.
 
Akisharudi nyumbani
Muro na wake mwandani
Wakijifunga chumbani
Uwanja wa kitandani
Kumbe pingu ya mapenzi! - Polisi wamechemsha!


Hiyo pingu ya mapenzi,
Walahi yanishangaza,
Wake anaye muenzi,
amfunge kwa kukaza?
Kioja pingu ya penzi.

Mwanakijiji nijuze,
Mila hii ni ya wapi?
Kwa pingu mwili ukaze,
utazihitaji ngapi?
Kioja pingu ya penzi.

Uanze kufunga miguu,
Kisha wende mikononi?
Halafu domo la juu,
hayo yote kulikoni?
Kioja pingu ya penzi.
 
The forum was meant for people like you. You set trends
 
pingu anafungwa bwana
Chali alazwa kijana
Wawili walopendana
Wapeana kiaiana
Bila ya kuzuiana
Pingu uhuru kwa sana!
 
Pingu kwangu inanisaidia sana nikilala na kimada nisicho kiamini amini kinaweza niibia usiku tunakubaliana tu nakipiga pingu tu kitandani kikitaka kwenda kujisaidia kinaniambia tu nataka kwenda haja. Hii ni kulinda masrahi.

yani imekaa vzuri kama hiyo ndo moja ya kazi ya pingu basi nakwenda kununua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…