Kakutwa mtu na pingu
Sasa yazua majungu
Imeleta kiwingu
Polisi waja na rungu
Kumbe pingu ya mapenzi!!-Polisi wamechemsha!
Akisharudi nyumbani
Muro na wake mwandani
Wakijifunga chumbani
Uwanja wa kitandani
Kumbe pingu ya mapenzi! - Polisi wamechemsha!
Afungwa mtu mkononi
Upande mwingine kichagani
Sisemi chafuata nini
Ni mambo ya mtimani
Kumbe pingu ya mapenzi- Polisi Wamechemsha
Swali: Ni kosa kukutwa na pingu ya mapenzi kwenye gari?
Kakutwa mtu na pingu
Sasa yazua majungu
Imeleta kiwingu
Polisi waja na rungu
Kumbe pingu ya mapenzi!!-Polisi wamechemsha!
Akisharudi nyumbani
Muro na wake mwandani
Wakijifunga chumbani
Uwanja wa kitandani
Kumbe pingu ya mapenzi! - Polisi wamechemsha!
Afungwa mtu mkononi
Upande mwingine kichagani
Sisemi chafuata nini
Ni mambo ya mtimani
Kumbe pingu ya mapenzi- Polisi Wamechemsha
Swali: Ni kosa kukutwa na pingu ya mapenzi kwenye gari?
HIvi kweli unadhani polisi wakinidaka mimi na kukuta pingu ndani ya gari langu watauliza ninaitumiaje? shoot!
Jamani wewe mwanakijiji ..naomba nitungi shairi spesho kwa mwandani wangu ..
unaweza kunambia zile Pingu zilikuwa zinatafuta nini kwenye gari ya Kijana wetu Jery ,,iweje ziwepo pale kwani yeye police
Nakosa imani na vyombo vyetu vya ulinzi
HIvi kweli unadhani polisi wakinidaka mimi na kukuta pingu ndani ya gari langu watauliza ninaitumiaje? shoot!
siyo kosa kukutwa na pingu jamani; hivi ndugu zangu mkisikia "polisi wamesema" au "serikali imesema" ndiyo inakuwa kama mmelambishwa limbwata?
yaa mie sina uhakika na hili kama ilikuwa ya mahaba ,malavidav iz ok najua hawa police kuna jambo wamefanya ndio maana nimeishiwa na imani nao
tatizo hii defense ikiwekwa hadharani na wa waswahili wakajua mambo ya pingu (wale ambao walikuwa hawajui) tutajikuta tunapata murder case hivi hivi; mara mtu kapigwa picha na katoto kashule kakatia pingu kwenye mlingoti! Au mbabu mmoja mtakuta ananing'inia kitandani!!
yaa mie sina uhakika na hili kama ilikuwa ya mahaba ,malavidav iz ok najua hawa police kuna jambo wamefanya ndio maana nimeishiwa na imani nao
siyo kosa kukutwa na pingu jamani; hivi ndugu zangu mkisikia "polisi wamesema" au "serikali imesema" ndiyo inakuwa kama mmelambishwa limbwata?