Alisema anataka kufanana na kiongozi wa kimila wa Kimasai aitwaye 'Laigwanan' ambaye kwenye kiapo chake wakati wa kupewa wadhifa huo huapa kuwa "Nikikiuka niliyoapa kuyatenda Mungu nilaani, niadhibu na ikibidi nichukue mapema," Bw. Pinda alisema.
Bw. Pinda alisema atakuwa kiongozi wa aina ya Laigwanan na kuwataka wasaidizi wake nao kuiga mfano wa 'Laigwanan.'
Bw. Pinda alisema atakuwa kiongozi wa aina ya Laigwanan na kuwataka wasaidizi wake nao kuiga mfano wa 'Laigwanan.'