Kwa huyu poyoyo eti hilo nalo analiita pigo takatifu. LB 7 wengi wao wana shida upstairs.Diwani kuhama chama sio habari mpya kipindi hichi.
Ukimaliza kubinya pua inama.VP umeshafua Vibwende vya mwanao?
Wanamsiba wako matanganiChadema wako kwenye arobaini
Imagine mtu anafurahia watu wanaoisaliti cdm siku hiyo CCM Yao ikiwageuka watatafuta mtetezi hawatampata.Mtahenyeka sana washamba ninyi wa madaraka wa awamu ya hovyo. Mbowe sio Chadema na Chadema sio Mbowe. Mlichukua Slaa mkasema imekufa cha ajabu mpka Leo mnaweweseka tuu na Chadema kula hamli kulala hamlali na hata kunya hamuwezi.
Tatizo ni jina? Basi tumwite Bia yetu.
Hapo mjinga ndio aliwaye wew unachekelea kununua wakati wenzio wanatengeneza bidhaa ununue halafu unajisifu kuwa ni mnunuzi mzuri wew ni fala.Mbowe anazidi kubamizwa.
Basi tumwite Magonjwa mtambuka, au naye ana hati miliki kama ya Bia yetu?Marufuku
Mbowe anazidi kubamizwa.
Halafu wewe Magonjwa mtambuka mbona una ujinga sana kichwani? Hivi isingekuwa upinzani hii jitihada ya serikali angalau kuwajibika kwa wananchi ingekuwepo? Mnaoombea upinzani ufutike nadhani kichwani mwenu mmejaza makamasi tu. Bila upinzani hata hii hapa kazi tu isingekuwepo.Mtabaki kujifaragua hivyo hivyo wakati lichama linazidi kuporomoka.
Mbowe anazidi kubamizwa.