Hapa akija ndugu makovu atakuwekea takwimu za wafungali bora wa Afrika wa muda wote kumuonesha chama yupo nafasi ya nane na goli 18!
Dunia???? Dunia gani hiyo au Kuna nyingine tofauti na hii!!!!Wakati hiyo Pa Komwe analima viazi huko kijijini kwao tayari Chama alishatengeneza jina Afrika na dunia nzima.
Ameibuka huko pa komwe zuzu ambae hata haeleweke kama ana consistency au ndio one season wonder mmeanza kupiga kelele kutala kufananisha huo utopolo na Chama.
Wewe piga Kura kule juu huku chini tuachie SisiHuu utoto sasa unaleta,moderator mpigeni ban angalau ya wiki moja huyu kiumbe.
Acha kelele piga kuraWakati hiyo Pa Komwe analima viazi huko kijijini kwao tayari Chama alishatengeneza jina Afrika na dunia nzima.
Ameibuka huko pa komwe zuzu ambae hata haeleweke kama ana consistency au ndio one season wonder mmeanza kupiga kelele kutala kufananisha huo utopolo na Chama.
Pacome ni master zaidi Chama mechi kubwa haweziPacome ni master class
Nishapiga mzeeBora haujapiga Kura na Kura yako imeharibika
Bila shaka umempigia Pacome, Asante kwa kushirikiNishapiga mzee