Tumalize utata: Chama Vs Moloko

John Gregory

JF-Expert Member
Jul 14, 2019
1,060
1,957
Habari wanajukwaa,

Leo naona tumalize utata wa nani zaidi kati ya viungo hawa wawili. Wote ni viungo wazuri, ila mmoja ana uwezo zaidi anapokuwa kulia na mwingine anapokuwa upande wa kushoto.

Kitakwimu za ufungaji wa magoli tofauti si kubwa sana katika idadi ya magoli. Ukija katika uwezo wa kumiliki mipira na kudrive Moloko ana uwezo binafsi wa kuwapita mabeki na si kutegemea kuwekewa mipira ya kupenya kama ilivyo kwa mwenzake.

Je, unawazungumziaje wachezaji hawa?
 
Tugrow up,

Chama anaweza kucheza Yanga na akaFlop, Morocco anaweza kucheza Simba akawa haanzi hata 1st Eleven.

Nani zaid inategemea na maumizi ya mchezaji kwenye Mfumo, Matumizi ya Moloko Yanga hawawezi kumtumia Chama, Na matumizi ya CHAMA KWA sIMBA HAYAWEZI FANNYWA NA mOLOKO.

Huu utoto sana,
Haya ndo ya Dilunga na Banda... Kuna Talent, Kuna Class, Kuna Form.

Mchezaji ana majukumu yake ya kutimiza katika mfumo. So ni kujiuliza anatimiza kwa % ngapi?
 
Kuna kijiwe hapa Wana discuss wanasema eti

Kuna mmoja hapo uchezaji/performance inategemea wamekutana na mpinzani gani na timu Yao inachezaje, wanaongezea kwa kusema mara nyingi ata perform vizuri na kuonekana pale mpinzani wao akiwa dhaifu na kazidiwa kila kitu na timu yake lakini wakikutana na timu ambayo imewa-dominate mwamba uwa anapotea mazima, wamesema na ushaidi wa mechi wanao kama mnataka.

Then kwa huyo mwingine acceleration yake na speed yake imekua ni nguzo imara kwa timu yake aswa kwenye ku-break backline ya wapinzani, wanaongezea uwezo wake wa ku-sprint unaisaidia sana timu yake na tofauti yake na huyo wa mwanzo ni kwamba Hata timu yake ikiwa Haina mpira/imetawaliwa na mpinzani uwa anaisaidia sana timu yake wakati wa counter attacks.

Ngojeaa niendelee kusikiliza soga zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom