Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
Lini.................?
na wasipobeba pia wapo kundi la wabeba boxNa wote hawabebi box literally........
nadhani umeona,reply back mkweOne week heee imekua honey moon?
meona eeeh mwanamke hachungwi hata siku moja anajiongoza mwenyewe mr lindalinda apewe darsa nahisi bado anakuwa lol
Hela zote mnikabidhi Mimi.
Anaboa mbayaaa....Hawa ndo prof Kabudi kawaweka kundi la wapumbavu...kujifanya wanajua kila kitu.
Ceter beribus meeting as group members kuna umuhimu wake na faida zake.
We vipi....kwani yeye hajui kwamba anamilikiwa na wewe? Kama yeye kakubali kukumbatiwa we kisirani cha nini? Kwani amekuwa mbuzi huyo kwamba ameibwa na kashindwa kuresist?
sijui hiyo bajeti kaiwekaje labda tuje na vyakula vyetu(vichau)Bado hajaja tu kutoa ufafanuzi maana naona kama kuna ruzuku ya usafiri na kikubwa route inaanzia wapi, ukiangalia sehemu kama Tarangire, Manyara, Ngorongoro mpaka Ngorongoro crater zipo karibu karibu yaani location moja na ambazo ni rahisi kufikika kwa watu wa mkoa wa Manyara, Arusha na Babati hata Kilimanjaro na ukiongeza na Serengeti ambayo yenyewe ipo location nyingine na ambayo ni rahisi kufikika kwa watu wa Mwanza, Simuyi, Mara, hapo ndio huo mnyumbuliko wa hiyo 40,000/= unapohitajika maana kichwa kimoja tu kinaacha 1,500 kwa kila hifadhi bado kulala na kula hata kama kutakuwa na tent za ruzuku bado utatakiwa kila tent ukiiweka tu kwenye picnic site unachajiwa 1,500 per day. (kikubwa hao wanajamii forum ni wa wing ipi)
Je yeye akizimika flag??!!!
Na hivi ni porini, atachukuliwa na ukizingua unakula nakoz!!!!
We jiandae naye kwa kishirikiana na yeye awe katika mood basi huo ndio muafaka la sivyo ntachukua namba na kuja kumalizana naye kitaa!!!!
Hahahaha wacha mikwara bwaina!!!
hiyo 40,000 bia zitakuwepo au picnic ambayo haina kilauri hapana aisee
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza
Nitafute tupate kilauri pamoja
Uummm....nadhani wangeweza kuhisi kwa jinsi tu nilivyo maana ni dhahiri sipo kama wala vumbi walivyo.....
Mind you, siyo kila mbeba maboksi kawiva. Wale wabeba maboksi waliotokea uswazi wako tofauti na wale wabeba maboksi waliotokea ushuani
asakuta same nitakutafuta mkuu next weekend weekend hii nipo na Kijana leo
teh, teh, teh, ndio raha ya kukata tiketi mapema unachagua gari nzuri, na siti ya dirishani miss chagga, pole ndugu asakuta same, panda lolote kama hauna haraka ya safari subiri wiki ijayo.