I'm in....
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?I'm in....
guys
hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life,anywhere tarangire,manyara,seliani,serengeti,ngorongoro even for a week pleaseeee members its fun we can share alot about our differences and love as well
hela ni 40000 per each pleasee just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good,pictures,memories we dont live forever ,lets us be one and a smile in a universe pleaseeeee
Hela ni 40000 per each
The Boss ukienda na me ntaenda ahhahhhhhaHey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.
Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
... idea ni pouwa, lakini kumbukeni tu angalizo la kudeal na yatokanayo/yaambatanayo kisaikolojia! Maaana kuna washiriki wengine hujitokeza kwa ajili ya kucheck vimo na rangi za watu tu.
... baada ya safari washiriki wasifedheheke kukutana na thread zinazosema mbona wanaJF wengi wafupi sana na wanamacho mekundu!!
REALITY said:samahani sana dada yangu kwa kushindwa kuonana na wewe kwakweli ilinibidi tu nizime simu ,hivi tungepita njia ipi ?kwa sura ipi?sikiliza naomba unielewe kutwa kujipaisha,kujifanya we ndo queen wa jf men am sorry you are damn ugly daaaah aisee
-ID zinaficha mengi yani mnaoumiza kichwa kwa......a.... poleni
Wakware hutumia nafasi hiyo kutafuta partners. Demu wangu ni memba humu na anapenda sana mitoko ya namna hii, sijui kama akisoma hapa ataacha ku-bid. Na nimeshajua user name yake acha nisubiri asije kuja niambia ooohh tunaenda kwenye kitchen party ya rafiki yetu tulisoma naeee.
Mtanikuta huko huko, ole wako nikukute umemumbatia eti unajifanya unamwonye shatembo nitakukaanga mayai ya chini
Wakware hutumia nafasi hiyo kutafuta partners. Demu wangu ni memba humu na anapenda sana mitoko ya namna hii, sijui kama akisoma hapa ataacha ku-bid. Na nimeshajua user name yake acha nisubiri asije kuja niambia ooohh tunaenda kwenye kitchen party ya rafiki yetu tulisoma naeee.
Mtanikuta huko huko, ole wako nikukute umemumbatia eti unajifanya unamwonye shatembo nitakukaanga mayai ya chini
Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!
23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html
[/LIST]
[/COLOR]
Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.
Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
Nadhani ni Tsh 40,000/=! Sasa mm niko Namanyele Rukwa ntafukaje uko, je kuna ufadhili? Nataka na mm nije mweee
Kama akiongea jambo la kweli kunihusu I don't mind asinipakazie tuu