Picnic ya wanajamiforums

Picnic ya wanajamiforums

I'm in....
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?

Mimi mara ya mwisho kushiriki ujinga kama huu ilikuwa wakati nipo secondary school miaka ya tisini wajanja walikuwa wanatuchangisha pesa ya kwenda picnic Rungwe oceanic na wao wanachofanya ni kukodi coaster tu kule beach kila kitu mnajitegema wao wako na mademu zao tena siyo wanafunzi wanatumbuwa pesa zenu tu. unajuwa kipindi chetu ukianza form one wale form four tayari wana ndevu na tulikuwa tunawaamkia.
 
Hiyo elf 40,000 ni kwa ajil ya nin na nin tafadhal tupe muongozo
btw idea ni nzur sema iwe lin?
 
guys
hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life,anywhere tarangire,manyara,seliani,serengeti,ngorongoro even for a week pleaseeee members its fun we can share alot about our differences and love as well
hela ni 40000 per each pleasee just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good,pictures,memories we dont live forever ,lets us be one and a smile in a universe pleaseeeee

Ki ukweli kula bata batani ni raha...coz nimemiss haya makitu.... ya kwenye JF party
 
Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.

Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
The Boss ukienda na me ntaenda ahhahhhhha
 
Last edited by a moderator:
... idea ni pouwa, lakini kumbukeni tu angalizo la kudeal na yatokanayo/yaambatanayo kisaikolojia! Maaana kuna washiriki wengine hujitokeza kwa ajili ya kucheck vimo na rangi za watu tu.
... baada ya safari washiriki wasifedheheke kukutana na thread zinazosema mbona wanaJF wengi wafupi sana na wanamacho mekundu!!


Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!

23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html

REALITY said:
samahani sana dada yangu kwa kushindwa kuonana na wewe kwakweli ilinibidi tu nizime simu ,hivi tungepita njia ipi ?kwa sura ipi?sikiliza naomba unielewe kutwa kujipaisha,kujifanya we ndo queen wa jf men am sorry you are damn ugly daaaah aisee
-ID zinaficha mengi yani mnaoumiza kichwa kwa......a.... poleni​


 
Wakware hutumia nafasi hiyo kutafuta partners. Demu wangu ni memba humu na anapenda sana mitoko ya namna hii, sijui kama akisoma hapa ataacha ku-bid. Na nimeshajua user name yake acha nisubiri asije kuja niambia ooohh tunaenda kwenye kitchen party ya rafiki yetu tulisoma naeee.

Mtanikuta huko huko, ole wako nikukute umemumbatia eti unajifanya unamwonye shatembo nitakukaanga mayai ya chini

Hahahaha wacha mikwara bwaina!!!
 
Wakware hutumia nafasi hiyo kutafuta partners. Demu wangu ni memba humu na anapenda sana mitoko ya namna hii, sijui kama akisoma hapa ataacha ku-bid. Na nimeshajua user name yake acha nisubiri asije kuja niambia ooohh tunaenda kwenye kitchen party ya rafiki yetu tulisoma naeee.

Mtanikuta huko huko, ole wako nikukute umemumbatia eti unajifanya unamwonye shatembo nitakukaanga mayai ya chini

Je yeye akizimika flag??!!!
Na hivi ni porini, atachukuliwa na ukizingua unakula nakoz!!!!

We jiandae naye kwa kishirikiana na yeye awe katika mood basi huo ndio muafaka la sivyo ntachukua namba na kuja kumalizana naye kitaa!!!!
 
Tuko pamoja ila fafanua hiyo amount ni nini na nini. Ili kila mtu afanye budget ua mahiyaji mengine.
 
Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.

Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.


Naona amount bila suggested date/days
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom