Picnic ya wanajamiforums

Picnic ya wanajamiforums

brother unapotea sana!!!! hata zile anga zetu huonekani...

Kaka kweli sikuwa kwa hewa sana, tusameheane tu mkuu kuna kipande kilibana lakini namshukuru Mungu kimeisha sasa nipo ndugu yangu!!!!

Mzima lakini kaka na jamaa wengine???!!!!

Tena ntakutumia PM kuna zaga nimelikuta mtaa flani sijawahi kutana nalo asee tubadilishane uzoefu
 
hahaaa
... idea ni pouwa, lakini kumbukeni tu angalizo la kudeal na yatokanayo/yaambatanayo kisaikolojia! Maaana kuna washiriki wengine hujitokeza kwa ajili ya kucheck vimo na rangi za watu tu.
... baada ya safari washiriki wasifedheheke kukutana na thread zinazosema mbona wanaJF wengi wafupi sana na wanamacho mekundu!!
 
mmmhhhh kwa ratiba hio sidhan watu waache mishe zao wakaspend almost week nzima for enjoyment????
 
funny is every where haijalishi umri , upo na nani? ... what its matter ni funny kurefresh mind..... unakosea sana Matola a lot of thing nakuona unacrush kama umepewa level nzuri unamaisha mazuri haina maana uwe wa kuhukumu upeo wa watu na hata maisha yao..... in this way your real boaring

Binti kula 5!! Umemaliza kila kitu....anajiona kama cleopatra yani
 
wakuu nimerudi
about 40000 ni mchango wa dishes,drinks,
about mabasi volunteer
najua wapo wengi tu
 
funny is every where haijalishi umri , upo na nani? ... what its matter ni funny kurefresh mind..... unakosea sana Matola a lot of thing nakuona unacrush kama umepewa level nzuri unamaisha mazuri haina maana uwe wa kuhukumu upeo wa watu na hata maisha yao..... in this way your real boaring

Niwie radhi kama nimekukwaza, kuna ID humu naziheshimu na wewe ni mmoja wapo, tuvumiliane pale tunapotofautiana mitazamo.

Ni hayo tu dada langu shemeji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom