nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,692
- 14,078
Hii imekaa vizuri sana hii,kumbe tunaweza FURAHI PAMOJA haijalishi humu tulishatofautiana.DAAH SASA TUANDAE HATA YA GHARAMA NAFUU KWA WAKAAZI WA DAR.:A S wink:Id unaziacha jamiii tu
Hii imekaa vizuri sana hii,kumbe tunaweza FURAHI PAMOJA haijalishi humu tulishatofautiana.DAAH SASA TUANDAE HATA YA GHARAMA NAFUU KWA WAKAAZI WA DAR.:A S wink:Id unaziacha jamiii tu
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?
Mimi mara ya mwisho kushiriki ujinga kama huu ilikuwa wakati nipo secondary school miaka ya tisini wajanja walikuwa wanatuchangisha pesa ya kwenda picnic Rungwe oceanic na wao wanachofanya ni kukodi coaster tu kule beach kila kitu mnajitegema wao wako na mademu zao tena siyo wanafunzi wanatumbuwa pesa zenu tu. unajuwa kipindi chetu ukianza form one wale form four tayari wana ndevu na tulikuwa tunawaamkia.
funny is every where haijalishi umri , upo na nani ... what its matter ni funny kurefresh mind..... unakosea sana Matola a lot of thing nakuona unacrush kama umepewa level nzuri unamaisha mazuri haina maana uwe wa kuhukumu upeo wa watu na hata maisha yao..... in this way your real boaring
Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.
Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
funny is every where haijalishi umri , upo na nani ... what its matter ni funny kurefresh mind..... unakosea sana Matola a lot of thing nakuona unacrush kama umepewa level nzuri unamaisha mazuri haina maana uwe wa kuhukumu upeo wa watu na hata maisha yao..... in this way your real boaring
Hii imekaa vizuri sana hii,kumbe tunaweza FURAHI PAMOJA haijalishi humu tulishatofautiana.DAAH SASA TUANDAE HATA YA GHARAMA NAFUU KWA WAKAAZI WA DAR.:A S wink:
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?
Hata mimi sijaelewa 40,000 Tsh for a week???? Kuna ruzuku ya serikali hapo nini? But its a good idea.
hiyo 40,000 bia zitakuwepo au picnic ambayo haina kilauri hapana aisee
wasingeweza hata kukugundua kama hujajisema.Faza....sitaki kuamini kwamba umekichukulia maanani nilichokisema.
Yaani mimi nijichanganye na watu wa JF kupitia mkusanyiko ulioanzia humu?
Labda siku ambapo mushtara itagongana na dunia ndo naweza fanya hivyo lakini mpaka sasa nimeridhika na faragha niliyonayo na sitaki wala sitamani kujichanganya na watu kutoka na kupitia humu!
for a week? kwa 40,000 tsh tu?
wasingeweza hata kukugundua kama hujajisema.
hahahahha chezea masai weye
mbeba box haupo mwenyewe bhana,labda watatokea kama wanne hiviUummm....nadhani wangeweza kuhisi kwa jinsi tu nilivyo maana ni dhahiri sipo kama wala vumbi walivyo.....
mbeba box haupo mwenyewe bhana,labda watatokea kama wanne hivi
Sasa mambo ya kumlinda mwanamke physically wakati psychologically yuko vulnerable si ni ndio hii dawa yao kuchukua contact halafu kwa muda muafaka roho zikiridhia na miili kuwiwa na hamu mnafanya yenu wakati "mr kamanda lindalinda" asipokuwepo tu!!!!
ila wote wabeba boxMind you, siyo kila mbeba maboksi kawiva. Wale wabeba maboksi waliotokea uswazi wako tofauti na wale wabeba maboksi waliotokea ushuani
ila wote wabeba box