Wakware hutumia nafasi hiyo kutafuta partners. Demu wangu ni memba humu na anapenda sana mitoko ya namna hii, sijui kama akisoma hapa ataacha ku-bid. Na nimeshajua user name yake acha nisubiri asije kuja niambia ooohh tunaenda kwenye kitchen party ya rafiki yetu tulisoma naeee.
Mtanikuta huko huko, ole wako nikukute umemumbatia eti unajifanya unamwonye shatembo nitakukaanga mayai ya chini
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?
Mimi mara ya mwisho kushiriki ujinga kama huu ilikuwa wakati nipo secondary school miaka ya tisini wajanja walikuwa wanatuchangisha pesa ya kwenda picnic Rungwe oceanic na wao wanachofanya ni kukodi coaster tu kule beach kila kitu mnajitegema wao wako na mademu zao tena siyo wanafunzi wanatumbuwa pesa zenu tu. unajuwa kipindi chetu ukianza form one wale form four tayari wana ndevu na tulikuwa tunawaamkia.
Picnic with total strangers??? ....aaah nehi..
Nendeni mkirudi mtupiemo mrejesho..!
Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!
23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html
[/LIST]
[/COLOR]
Acha mambo yako....wakati mi nlitegemea utanilipia na mimi
hahahaa...maana yake uwe partner wangu kwenye msafara wa ''mbuga za wanyama'' sio?
Acha weweee....kutoka wengi kuna raha yake
Utapeli mtupu!!
loh kama mimi ndo REALITY walahi natelekeza uzi halafu na mtoko ndo kwa heri.
Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!
23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html
[/LIST]
[/COLOR]
tutakuja na Id zetu au tuta kausha kimtindo?
Shkamoo!!
Marhaba bibie!! Umepotea sana wew..nani kakuficha?
Majukum tu .za uzima?
...kama MSALANI na Ritz watakuwepo asee siji, wataniharibia mudi ya picknic....Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.
Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
Tutalala kwa pamoja au???teh teh teh