awp
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,711
- 603
duu wee Steve Dii umenifanya niloff in nimechekaje hapo kwenye red... idea ni pouwa, lakini kumbukeni tu angalizo la kudeal na yatokanayo/yaambatanayo kisaikolojia! Maaana kuna washiriki wengine hujitokeza kwa ajili ya kucheck vimo na rangi za watu tu.
... baada ya safari washiriki wasifedheheke kukutana na thread zinazosema mbona wanaJF wengi wafupi sana na wanamacho mekundu!!
Last edited by a moderator: