Picha: Ziara ya Rais Kikwete nchini Oman

[h=2][/h]
download+%282%29.jpg



Wapo wanaodhani tunatangaza utalii huku wengine wakidhani tunahonga wanyama wetu kwa jamaa hawa. Sijui jamaa atapewa kanzu au msuli? Maana jezi keshapewa sana. Kesho msishangae kusikia ndege nyingine ikisafirisha wanyama hai na hakuna atakayeguswa. Wengi walidhani angalau Kikwete angeulizia ni kwanini Falme za Kiarabu zinatuibia wanyama. Je anaogopa kuambiwa kuwa tuliwauzia kwa ufisadi wetu? Nini tafsiri ya picha hii?



Mkuu nadhani Falme za Kiarabu(UAE) na Oman ni mamlaka mbili tofauti ingawa zote zapatikana middle east.
Kama sikosei hao Oman ndio waliotukwapulia twiga...najua kwa nchi zenye msimamo wa dhati tungekuwa tushavunja uhusiano wa kidiplomasia na hao watu kwa kitendo hicho, lakini kuonesha tulivyo mbumbumbu, Rais wetu ndiye anakuwa mstari wa mbele kwenda kuwakenulia meno na kutoa tunu zenye maslahi na jambo lile lile lililozua utata.
Shame on you JK....upo kama msukule vile!!
 
Wakuu nimeshtushwa na taarifa za vyombo vya habari kwa hivi sasa mkuu wa kaya yupo omani,ikiwa siku chache tu alikuwa canada,akaenda marekani na sasa ajakaa sana nyumbani kwake kashaenda tena omani,naomba kujua hivi safari 1 inagharimu shilingi ngapi? Na je,safari hizo zimeleta tija mpaka ktk maeneo gani ya maendeleo ya nchi hii? Na mwisho hivi nchi hii waziri wa mambo ya nje ana majukumu gani? Maana omani nasikia tu ana hamasisha wafanya biashara kuwekeza tanzania,je,kazi kama hii hawezi kufanya waziri wa mambo ya nje? Naomba kuwasilisha
 
Kwasababu juzi mahujaji walipanda ndege kwenda kuhiji, huenda nae ameenda. Kwani si maeneo hayo hayo.
 
Tumesema tumechoka huu jamaa miguu yake imelabwa na mbwa hachoki kutembea.
 
Wakuu nimeshtushwa na taarifa za vyombo vya habari kwa hivi sasa mkuu wa kaya yupo omani,ikiwa siku chache tu alikuwa canada,akaenda marekani na sasa ajakaa sana nyumbani kwake kashaenda tena omani,naomba kujua hivi safari 1 inagharimu shilingi ngapi? Na je,safari hizo zimeleta tija mpaka ktk maeneo gani ya maendeleo ya nchi hii? Na mwisho hivi nchi hii waziri wa mambo ya nje ana majukumu gani? Maana omani nasikia tu ana hamasisha wafanya biashara kuwekeza tanzania,je,kazi kama hii hawezi kufanya waziri wa mambo ya nje? Naomba kuwasilisha

Kama ndiyo mlimchagua, sasa malalamiko ya nini?
 
waarabu wantaka kubadilishan ardhi na investment. ni watu hatari sana kuwekeza maana hapo Ethiopia m saudia kanunu ardhi ukubwa wa wilaya ya kibaha na Ikwiriri. halafu kawaleta waarabu kama laki nne hivi kuishi humo ethiopia katika ardhi walionunua. Basi humo wanafuga mbuzi, Ng'ombe na kulima sana.

Hzi safari za kuomba misaada uarabuni ni nzuri lakini malipo yake ni mabaya sana. Kwa nini raisi asitembelee Israel? Mbona raisi wa Ivory Cost tena ni mwislamu lakini katembelea Israel kufanya mikataba ya Kibiashara na kupanua soko la cocoa? Yaani raisi wetu anshindwa kutembelea israel kwa kuogopa waarabu?
 
Hii msg ya hapa chini nimeitoa kutoka blog jengine!

0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000

Hi,

Inasemekana kutokana na habari tunazozipata kutoka Oman kuwa Rais Kikwete
jana alipata welcome ya ajabu ambayo Qaboos hajawahi kumpa Rais mwengine yoyote yule wa nchi.
Suala ni kuwa, je, na huyu mwarabu nae anataka kutuibia ardhi yetu au ni coincidence tu?
Au ni kwasababu Wazanzibari wengi wamo kwenye cabinet yake na kwahivyo wameyafanya mambo kuwa
mazuri zaidi kwa mtu wa kwao?

ZANZIBAR NI KWETU: AN UNPRECEDENTED WELCOME FOR KIKWETE IN OMAN!
 
Back
Top Bottom