Picha: Ziara ya Rais Kikwete nchini Oman

Wewe unashangaa nini? Juzi juzi ulimwona Canada akibururwa na mkokoteni wa farasi ambako alienda kusaini mkataba wa kulinda maslahi ya wawekezaji wa Canada ndani ya Tz. Unashangaa?
 
Ikumbukwe kwanza kuwa kuna historical ties kati ya Tanzania na Oman kwa muda mrefu. Pamoja na halo ikumbukwe mambo mawili muhimu:

a. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman

b. Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar.
 
aaggghhh!yani kila nikimwona dhaifu nakabwa na hasira, nataman tufanye mapinduzi tumwondoe madarakan huyu kilaza.
 
8E9U9534.JPG


Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said wakipokea heshima za viongozi muda muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili jijini Muscat Oman leo mchana kwa ziara rasmi (State Visit) ya siku tatu nchini Oman.

8E9U9591.JPG


Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri la Sultani jijini Muscat leo (Picha na Freddy Maro)

download+%282%29.jpg


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman jana jioni muda mfupi kabla ya dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa kwa heshima yake.

download+(3).jpg


Sultani wa Oman,Qaboos bin Said Al Said akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nishani ya juu ya heshima, Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman.

download+(4).jpg


Sultan Qaboos bin Said Al Said akimpongeza Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kumtunuku nishani ya juu ya heshima ya Taifa la Oman jana jioni katika kasri ya AL Alam. Jijini Muscat Oman jana jioni .Rais Kikwete aliwasili nchini Oman jana jioni kwa ziara rasmi ya siku nne. Picha na Freddy Maro

ULIOMBA PICHA nilizoweka ZIONDOLEWE???
 
Ikumbukwe kwanza kuwa kuna historical ties kati ya Tanzania na Oman kwa muda mrefu. Pamoja na halo ikumbukwe mambo mawili muhimu:

a. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman

b. Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar.

Mwanakijiji,
Historical ties my foot. Historical ties yangu mtu wa bara na Oman ni ndugu zetu kuchukuliwa watumwa. Huo si uhusiano wa kihistoria ambao ningependa kuuendeleza. Nakubali kuwa a. Kikwete amenunuliwa na hela za Oman na b. Anaendelea kufaidika na ufisadi wa Dowans. Hakuna cha historical ties.
 
Mwanakijiji,
Historical ties my foot. Historical ties yangu mtu wa bara na Oman ni ndugu zetu kuchukuliwa watumwa. Huo si uhusiano wa kihistoria ambao ningependa kuuendeleza. Nakubali kuwa a. Kikwete amenunuliwa na hela za Oman na b. Anaendelea kufaidika na ufisadi wa Dowans. Hakuna cha historical ties.

Jasusi,

Zipo historical ties za kutosha na ndugu zetu hawakuchuliwa bila ridhaa yetu. Makabila yenye nguvu kama wanyamwezi, wahehe, na wayaho yalihusika kwenye biashara hiyo kwa juhudi zote.

Mwarabu nyoronyoro hawezi kwenda kwenye misitu ya congo bila msaada wako.

Ni sawa na sasa mchina anakwenda kuchimba dhahabu Butihama halafu mnauliza kibari kakitoa wapi?
 
Jasusi,

Zipo historical ties za kutosha na ndugu zetu hawakuchuliwa bila ridhaa yetu. Makabila yenye nguvu kama wanyamwezi, wahehe, na wayaho yalihusika kwenye biashara hiyo kwa juhudi zote.

Mwarabu nyoronyoro hawezi kwenda kwenye misitu ya congo bila msaada wako.

Ni sawa na sasa mchina anakwenda kuchimba dhahabu Butihama halafu mnauliza kibari kakitoa wapi?

Zakumi,
You have a point. Hivi tumelaaniwa? Umeona juzi kuna Mchina na washirika wake walikutwa wanachimba kwenye mbuga za wanyama akapewa faini ya shilingi milioni moja. Wala wazo la kumfukuza nchini halikuwaingia kichwani kabisa.
Tumelaaniwa?
 
Ikumbukwe kwanza kuwa kuna historical ties kati ya Tanzania na Oman kwa muda mrefu. Pamoja na halo ikumbukwe mambo mawili muhimu:

a. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman

b. Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar.

Mwanakijiji,

Zipo historical ties na ambazo zingeweza kutumika kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili. Lakini kutokana na sisi kuzubaa, ties hizo zinatumika kwa manufaa ya kijinga.

Ningependa Dubai Ports International waendeshe ports zetu.
 
Wed, 17 October 2012

1350419385043179200.jpg


MUSCAT - His Majesty Sultan Qaboos gave audience to President Jakaya Mrisho Kikwete of Tanzania at Bait Al Baraka, last evening. His Majesty the Sultan exchanged cordial talks with his guest and the two parties discussed bilateral relations between the two friendly countries and the means to enhance them in all fields. A special banquet attended by a number of top officials was held in honour of the guest and his accompanying delegation.

Earlier, a foundation stone for the Embassy of Tanzania in the Sultanate was laid at the Embassies District under the auspices of President Kikwete. The laying down of the foundation stone is a tangible proof for the progress reached by the relations between the countries, affirming that this occasion represents a turning point in the history of the bilateral relations between the two friendly countries.

The Sultanate and Tanzania also signed a number of agreements and memoranda of understanding on co-operation in the field of investment promotion and protection, higher education, exchange of documents and archives and the establishment of Omani-Tanzanian Businessmen Council. The first agreement is related to promotion and protection of investment and provides guarantees for investments in both the countries.

They also signed an MoU for co-operation in the field of higher education. The MoU is related to exchange of visits of academic and research institutions and exchange of research materials, publications, teaching aids, software and participation in workshops on higher education. Another agreement for the establishment of Omani-Tanzanian Businessmen Council was also signed.

The council aims at furthering development of the existing economic and trade ties between businessmen in both countries and promoting mutual investment opportunities, facilitating the proceedings before the businessmen to establish their investments and joint exhibitions and exchange of delegations.

HM, Kikwete discuss ties | Oman Observer
 
Mwanakijiji,

Zipo historical ties na ambazo zingeweza kutumika kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili. Lakini kutokana na sisi kuzubaa, ties hizo zinatumika kwa manufaa ya kijinga.

Ningependa Dubai Ports International waendeshe ports zetu.

Ndiyo sasa tunataka kufungua ubalozi huko. Ujenzi wa ubalozi kukamika ndani ya miezi 15!

1350413005492148900.jpg


MUSCAT - The Foundation Stone for the Embassy of the United Republic of Tanzania in the Sultanate was laid down at the Embassies District here yesterday under the auspices of President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania and in the presence of Ali bin Masoud al Sunaidy, Commerce and Industry Minister (Head of the Mission of Honour accompanying the guest), Yahya bin Moosa al Bakri, Sultanate's Ambassador to the United Republic of Tanzania and a number of heads of the Diplomatic Corps in the Sultanate.

The President of the United Republic of Tanzania gave a speech during which he said this occasion is a historic moment in the Omani-Tanzanian relations pointing out that laying down the Foundation Stone of the Tanzanian Embassy in the Sultanate affirms the commitment towards enhancing the bilateral relations between the two friendly countries. He expressed his hope that the building of the Tanzanian Embassy will be ready in 15 months.

Al Bakri gave a speech during which he highlighted the friendship and co-operation binding the Sultanate and the United Republic of Tanzania, pointing out to the specialty of the bilateral relations between the two friendly countries.

He added that laying down the Foundation Stone for the Tanzanian Embassy in the Sultanate is a tangible proof for the progress reached by the relations between the countries, affirming that this occasion represents a turning point in the history of the bilateral relations between the two friendly countries. President Jakaya Mrisho Kikwete laid down the foundation stone for the Embassy in Muscat and unveiling the plaque of the building. - ONA
 
Picha zipi mkuu? Never said anything like that.

Kwenye Post yake Jana niliweke PICHA za Majumba ya Mfalme wa Oman; Ndege zake na Yatch lakini sizioni leo...
It is OK, maybe not U...
 
Zakumi,
You have a point. Hivi tumelaaniwa? Umeona juzi kuna Mchina na washirika wake walikutwa wanachimba kwenye mbuga za wanyama akapewa faini ya shilingi milioni moja. Wala wazo la kumfukuza nchini halikuwaingia kichwani kabisa.
Tumelaaniwa?

Mimi naona hili tatizo sio CCM. Tuanze upya tu.
 
Kwenye Post yake Jana niliweke PICHA za Majumba ya Mfalme wa Oman; Ndege zake na Yatch lakini sizioni leo...
It is OK, maybe not U...

Not me mkuu. I don't access to delete your posts. I can only delete mine.
 
President of United Republic of Tanzania Visits SAF Museum

Muscat, Oct 16 (ONA) --- President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania and his accompanying delegation today visited the Sultan's Armed Forces (SAF) Museum. During his visit, President Kikwete was accompanied by Lt.Gen Ahmed bin Harith al-Nabhani, SAF Chief of Staff.

He was briefed on the progress enjoyed by SAF.

President of the United Republic of Tanzania expressed his delight of visiting SAF Museum and the beauty of the civilized heritage in the Sultanate, as well as the displayed items in the museum that reflect the great Omani civilization through history and aspects of progress and development.

--- Ends/AH/FS
 
Kushangaa inaruhusiwa ndani ya jumba la dhahabu la mheshimiwa Sultani Qaboos wa Oman kama ktk clip hii:

 
Last edited by a moderator:
Kwani Muislam akiachana na mke si anaruhusiwa kuoa wa pili?

BTW

Hawa Wa Oman ni wafuasi wa sect inayoitwa IBADHI na moja kati ya Imani zao ni kuwa Qur'an SIYO maneno ya Mwenyezi Mungu.

Sibitisha
 
Back
Top Bottom