EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said wakipokea heshima za viongozi muda muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili jijini Muscat Oman leo mchana kwa ziara rasmi (State Visit) ya siku tatu nchini Oman.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri la Sultani jijini Muscat leo (Picha na Freddy Maro)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman jana jioni muda mfupi kabla ya dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa kwa heshima yake.
Sultani wa Oman,Qaboos bin Said Al Said akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nishani ya juu ya heshima, Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman.
Sultan Qaboos bin Said Al Said akimpongeza Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kumtunuku nishani ya juu ya heshima ya Taifa la Oman jana jioni katika kasri ya AL Alam. Jijini Muscat Oman jana jioni .Rais Kikwete aliwasili nchini Oman jana jioni kwa ziara rasmi ya siku nne. Picha na Freddy Maro
UPDATE
Wed, 17 October 2012
MUSCAT - His Majesty Sultan Qaboos gave audience to President Jakaya Mrisho Kikwete of Tanzania at Bait Al Baraka, last evening. His Majesty the Sultan exchanged cordial talks with his guest and the two parties discussed bilateral relations between the two friendly countries and the means to enhance them in all fields. A special banquet attended by a number of top officials was held in honour of the guest and his accompanying delegation.
Earlier, a foundation stone for the Embassy of Tanzania in the Sultanate was laid at the Embassies District under the auspices of President Kikwete. The laying down of the foundation stone is a tangible proof for the progress reached by the relations between the countries, affirming that this occasion represents a turning point in the history of the bilateral relations between the two friendly countries.
The Sultanate and Tanzania also signed a number of agreements and memoranda of understanding on co-operation in the field of investment promotion and protection, higher education, exchange of documents and archives and the establishment of Omani-Tanzanian Businessmen Council. The first agreement is related to promotion and protection of investment and provides guarantees for investments in both the countries.
They also signed an MoU for co-operation in the field of higher education. The MoU is related to exchange of visits of academic and research institutions and exchange of research materials, publications, teaching aids, software and participation in workshops on higher education. Another agreement for the establishment of Omani-Tanzanian Businessmen Council was also signed.
The council aims at furthering development of the existing economic and trade ties between businessmen in both countries and promoting mutual investment opportunities, facilitating the proceedings before the businessmen to establish their investments and joint exhibitions and exchange of delegations.
Last edited by a moderator: