Picha: Ziara ya Rais Kikwete nchini Oman

Picha: Ziara ya Rais Kikwete nchini Oman

Katika hotuba yake Kikwete anazungumzia kuwa Tanzania kuna ardhi ya kutosha, watanzania nawaambia hivi hakuna ardhi ya kutosha mpaka tuaalike waarabu kuja kuwekeza kwenye ardhi yetu ndio maana unaskikia kila siku kuna migogoro ya ardhi, wananchi wanauawa kwenye hifadhi ya wanyama kwa sababu wameiingiza mifugo yao. Namshauri rais aache bla bla na atengeneze mazingira mazuri ya watanzania ili kila asiyekuwa na ardhi ya kutosha apewe na kama kutakuwa na wawekezaji waje wakute ardhi ambayo inamilikiwa na kila mtanzania na mtanzania huyo kama hana mtaji wakuwekeza kwenye ardhi yake kuwe na makubaliano yenye kufaidisha mtanzania na sio sasa unyang'anyi mtupu.

my take....ONLY CHANGE IN THE GOVERNMENT CAN BRING POSITIVE CHANGE TO OUR POOR PEOPLE.
 
Mbona huyu Sultan ana Sime? je kikwete ana nini hapo? hiyo sime (jambia) nishakumbuka picha za biashara ya watumwa, toba
 
JAMAN KIZAM ZAM JAZBA ZA NINI??
MSUBIRINI SLAA 2015 NAYEYE ATAENDA VATICAN..
MAANA SASA NAONA MNAVUKA MIPAKA
KILA ANACHOFANYA HAMKOSI LA KUONGEA....!!
:tongue::tongue:
 
Halafu mbona kama huyu Sultani ana Jambia??


Hilo ndilo vazi letu la Taifa kwa ukamilifu wake. Angalia hata mimi katika Avatar yangu utaliona kiunoni kwangu.

.Ukimuona mtu kavaa hivyo kokote duniani basi ujue huyo ni kutoka Oman.

Ndio umuhimu wa vazi la Taifa.

Karib sana
 
download+(3).jpg



Sultani wa Oman,Qaboos bin Said Al Said akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nishani ya juu ya heshima, Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman.

Mbona hilo Red clop humo ndani ya hilo kasha limekaa kaa kama vile ni li-pete wa uchumba?
 
Mbona huyu Sultan ana Sime? je kikwete ana nini hapo? hiyo sime (jambia) nishakumbuka picha za biashara ya watumwa, toba



Angalia vizuri SIO SIME bali ni jambia dogo.

Hilo ndilo vazi letu la Taifa kwa ukamilifu wake. Angalia hata mimi katika Avatar yangu utaliona kiunoni kwangu.
Ni vazi la shabbab aliyetimia kwa kila kitu.


 
Ikumbukwe kwanza kuwa kuna historical ties kati ya Tanzania na Oman kwa muda mrefu. Pamoja na halo ikumbukwe mambo mawili muhimu:

a. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman

b. Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar.

Je una uhakika na hayo?

Mbona usemi Dr Padre Slaa alipokea kiasi gani kutoka Vatican?

Lakin ukitazama na kusoma Historia HAKUNA HATA KIDOGO HISTORICAL TIES baina ya Oman na Tanzania. Bali kuna mengi ya kihistoria baina ya Zanzibar na Oman kama ilivyokuwa Tanganyika na Uingereza

 
Je una uhakika na hayo?

Mbona usemi Dr Padre Slaa alipokea kiasi gani kutoka Vatican?

Lakin ukitazama na kusoma Historia HAKUNA HATA KIDOGO HISTORICAL TIES baina ya Oman na Tanzania. Bali kuna mengi ya kihistoria baina ya Zanzibar na Oman kama ilivyokuwa Tanganyika na Uingereza

Jibu hoja kwanza hivi:
(a)Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman
(b)Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar
Wanajamvi tunataka useme unafahamu au hapana? hizi habari za Slaa na Upadri wake hazijaulizwa, ila ni kweli kabisa (hata kamuulize kikwete mwenyewe) alipokea kiasi cha hela toka Oman na alifanya ziara huko akiwa kama Waziri wa Mambo ya nje, kwa kifupi jibu hoja za mwanakijiji, asante hayo mengine tishia toto
 
Jibu hoja kwanza hivi:
(a)Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman
(b)Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar
Wanajamvi tunataka useme unafahamu au hapana? hizi habari za Slaa na Upadri wake hazijaulizwa, ila ni kweli kabisa (hata kamuulize kikwete mwenyewe) alipokea kiasi cha hela toka Oman na alifanya ziara huko akiwa kama Waziri wa Mambo ya nje, kwa kifupi jibu hoja za mwanakijiji, asante hayo mengine tishia toto

Hoja za kitoto kabisa hata ataekujibu pia mtoto'unaleta habari za kufikirika kisa mmiliki wa dowans ni muoman basi anauhusiano na qaboos,
Kutwa mnawasema waarab kama wao ni watu ambao hawana elimu au washamba sana kisa wanavaa kanzu, kwa taarifa yako hao waarab na ushamba wao na makanzu yao hakuna nchi hata 1 ya kiarabu ambayo sisi tz tunaifikia kwa maendeleo au kwa chochote pamoja na kuvaa suti zetu' acheni chuki zisizo na msingi
 
Hizi thread zinazomhusu JK ndiyo za kupunguzia stress sisi wengine, kuwa serious na matukio ya huyo jamaa ni matumizi mabovu ya rasilimali akili.
Dawa ni kujiandaa kwa nafasi ijayo tusifanya makosa kwa kuchagua watu wa aina yake.
 
kwa sababu ya ujinga na utembeza bakuli wa huyo alieko huko ziarani Oman na vichwa maji wenzake, we are strategically better and endowed with resources kuliko hao wajomba zako waarabu, kwa kuwa umefundishwa kuwategemea ndio maana mnataka waje waichukue zenj?ila sisi Loliando ilitosha,na hatutaki tena.
ila Jibu hoja usijae upepo,kuwa:
(a)Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2005 Rais Kikwete alipokea karibu dola milioni 2 kwa ajili ya kampeni toka Oman
(b)Yule mmiliki wa Dowans aliyekuja wakati ule ni mtu wa karibu sana wa Qaboos; kwa wanaokumbuka yule bwana ana asili ya Zanzibar
Hoja za kitoto kabisa hata ataekujibu pia mtoto'unaleta habari za kufikirika kisa mmiliki wa dowans ni muoman basi anauhusiano na qaboos,
Kutwa mnawasema waarab kama wao ni watu ambao hawana elimu au washamba sana kisa wanavaa kanzu, kwa taarifa yako hao waarab na ushamba wao na makanzu yao hakuna nchi hata 1 ya kiarabu ambayo sisi tz tunaifikia kwa maendeleo au kwa chochote pamoja na kuvaa suti zetu' acheni chuki zisizo na msingi
 
huyu jamaa sijui tumuweke kwenye kundi gani yaani full mziki wa aibu haingii akili mawziri wote na yeye wote wako nchi moja sijawahi sikia nchi wamekuja mawaziri wengi kiasi hiki pamoja na rais kwa wakati mmoja. maana ya wizara ya mambo ya nje nini??????
 
Back
Top Bottom