Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo, akinywa maji kuashiria kuwa ni safi na salama kwa matumizi ya binadamu katika hafla ya kukabidhi mradi wa visima 15 katika Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo umefadhiliwa na TBL.
President Jakaya Kikwete with presidents (front-L) Paul Kagame of Rwanda, Yoweri Museveni of Uganda and Joseph Kabila of DRC moments before the opening of the International Conference on Great Lakes Region on DRC crisis in Kampala on Tuesday. (Photo: State House)
Lucky passengers who escaped narrowly after a Dar-Mwanza bound bus in which they were travelling overturned in Morogoro, after the bus driver lost control during an attempt to avoid a head-on collision. At least 40 passengers suffered minor injuries.
Basi la kampuni ya Allys Sport Bus linalosafirisha abiria kutoka Dar es Salaam na Mwanza likiwa limeacha njia na kupinduka baada ya kutokea ajali inayodaiwa kusababishwa na basi la Shabiby lililokuwa likitokea mkoani Dodoma kwenda Dar es Salaam na kusababisha mabasi matatu kuacha njia eneo la Mkundi Makunganya barabara kuu Dodoma-Morogoro ambapo katika ajali hizo zaidi ya abiria 40 walijeruhiwa mkoani hapa
Under The Same Sun (UTSS Advocacy Officer Annael Lazaros displays ‘Albinism Worldwide' poster to residents of Busunda Village in Ukerewe District, Mwanza Region, yesterday. A team of UTSS staff is touring Lake Victoria zone regions conducting seminars and screening ‘White and Black: Crime of Colour' documentary in an effort to sensitise residents of the regions on the need to disabuse themselves of the mistaken belief that being born with albinism is a curse. (Photo: Emmanuel Kwitema - UTSS Ukerewe)
Rais Jakaya Kikwete, akisoma barua aliyoandikiwa na mtoto Khaitham Jumbe (kulia), wakati wa futari aliyowaandalia watoto walemavu na yatima Ikulu jijini Dar es Salaam jana. Katikati anayeangalia, ni mtoto Hamida Jacks, mdogo wake Khaitham. Mtoto Khaitham Jumbe, ni mlemavu wa ngozi na alikwenda Ikulu na wazazi wake.
Vicky Ntetema (L), UTSS Executive Director for Tanzania, in talks with members of Johnson Nyehure's family which has been living in the office of the Kiriba Village Executive Officer at Mugango for four years now following threats to their lives. They are from right, Johnson Nyehure, his wife Kudra, and their sons Masini, Maregesi and Magoti. (Photo: Emmanuel Kwitema – UTSS Mugango
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal ( wa tatu kushoto), akishiriki na waumini wengine wa dini ya Kiislamu katika swala ya Idd el Fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussen Mwinyi (kushoto) na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Alhadi Mussa Salum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.