Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #701
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Beleshi (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Kunduchi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana baada ya kufungua semina ya wapelelezi, polisi, mahakama na majaji. Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, mafunzo hayo yalihusu mbinu za kisasa za kukabiliana na uhalifu wa utakatishaji wa fedha, biashara ya madawa ya kulevya, utaifishaji wa mali zilizopatikana kwa njia haramu na masuala ya ughaidi.