Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,069
- 34,839
- Thread starter
- #641
Gari la wagonjwa la Kampuni ya AAR lenye namba za usajili T151 AVD lililombeba Dk. Stephen Ulimboka likiingia katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, tayari kusafirishwa kwenda Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.