kwakuwa yeye amekaa na wanakigoma wake?. Hii nayo ni hoja? Ninamashaka na uwezo wako ki-fikra. ukipevuka utafikiri tofauti.Nadhani hakuna tatizo na nyie kakaeni na wana kaskazini wenu.
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.
Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu
zako halafu akae kimya.
Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Wazee wa gongo.Unahangaika na huyo mburula hajui A wala Z.
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Inaonyesha jamaa unatokea kijijini sana. Na kijijini kwenu hamna anaejua kusoma wala kuandika, laiti kijijini kwenu wangekuwepo wasomi wengi usingeshangaa mabango hayo kuandikwa na hao akina mama wenyewe.hivi hao wakina mama wameyaandika hayo mabango wenyewe,au wamebebeshwa tu?
kamanda unajitoa ufahamu?
Yeah hapo ni airport ila naona hapajazizima km anavyosema mleta mada, huo uwanja nimeutumia mara nyingi naufahamu, ila najiuliza-tu kuwa wanaandaji na lengo lao, kila la-heri kuwatumikia wananchi.Kweli mkuu hapo ni airport kigoma masalia leo kazi mnayo.
Ndugu yangu wengine tunaangalia sinema hii itakapoishia,Nadhani busara ni muhimu sana na mtu anatakiwa aombe busara (hekima) na ukipungukiwa na hiki kitu ndipo ule msemo unaosema "aonywae mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla" sasa swali ni hili, anaenda Kigoma kama mbunge, naibu katibu mkuu aliesimamishwa, au mwanachama wa kawaida wa CDM? Au anaenda kumuonyesha Dr. Slaa kuwa yeye ZZK YUKO JUU YA Dr. Slaa? Na kama ni hivyo ili iweje? Mbona anjiharibia kuliko kujijenga? Tuacha ushabiki anachofanya sio sawa wakati huu ambapo tunasubiri kuona utetezi wake. Jamani mshaurini basi naona anatumia nguvu isipopasa.
Wanaogopa mtawamwagia tindikali.Wabeba mabango kama kawaida yao kuficha sura...mmewakodisha wapi hawa akina mama?kwa nini mtumie dhiki zao kuwalaghai?
Ndugu yangu wengine tunaangalia sinema hii itakapoishia,
Angekuwa na busara kama kweli bado anaipenda Chadema asingeonyesha sign yeyote ya kupambana na uongozi hasa kwa kipindi hiki anachosubiri hukumu yake,
Lakini kama ulivyosema acha ashupaze shingo kwa upambe wa muda mfupi.
Akili zako mzigo, mwili chakavu.Wanaogopa mtawamwagia tindikali.