Unawalinganishaje hao akina mama na kundi la vijana wahuni waliohudhuria mikutano ya Slaa, mpaka Slaa akaamua aje na ajenda ya Gongo.hivi hao wakina mama wameyaandika hayo mabango wenyewe,au wamebebeshwa tu?
Kipofu huwa haoni, lakini ukimweleza huwa anafaamu. Huwa nashindwa kuelewa watu wa aina yako, lakini milembe ipo.Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.
Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.
Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
zitto n zaidi ya chadema lakini ukweli unabaki palepale kua ni msaliti...
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Kamanda! Naona unapiga ngumi hewani.
Anafika saa ngapi mbunge wenu? Maana habari ya mjini ni kujiuzuru kwa mawaziri
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
Nipo Kigoma Airport hapa,Ni kwamba Kigoma imezizima,kila koma ni Zitto Kabwe,Wananchi wanamiminika Airpot kumpokea shujaa Zitto Kabwe..Mwanasiasa Kinda Mwenye kila aina ya sifa za Mwanasiasa Bora.
Picha zote nazipandisha hapa,kwakuanza hali ipo hivi
Wakuu Wuwanja wa AIRPORT umeshaanza Kuwa mdogo eneo la watu,Ni maelfu ya Wananchi wanamiminika Viwanja Hivi,Ndege inakaribia Kutua.
Yaani hapa ni LIVE UPDATES Mwanzo Mwisho,Wenye chuki poleni sana Zitto Kigoma ni Kama Mfalme
Wanasema zitto ni msaliti na anatumika na ccm lakini mbona yale mashtaka 11 aliyopewa hayajaandkwa hayo?